Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 70,953
- 104,603
Acid
Hivyo vibendera kwenye vibanda na maduka visikutishe. Hata mimi kwenye genge ninalomiliki ipo bendera ya CCM. Wala haihusiani na mapenzi kwa chama hicho. Ila CCM wanapandikiza hofu fulani kwamba ukiweka hiyo bendera, wewe uko kwenye safe side.
NB: Ni wananchi wenye nguvu na uwezo wa kuchagua chama wanachokitaka.
Mazee unaweza kutengeneza perception ya kwamba CCM ina support kubwa kuliko ilivyo, na wengine wakapiga kura kwa kufuata perception hii.
Kuna watu kibao wanapiga kura kwa kuangalia nani yuko popular, na bendera nyingi ni zipi, sad as it may sound.