Aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Geita mjini, Bwana Rojas Ruhega, na katibu chama hicho jimbo hilo, wameanza harakati za kujivua uanachama wa chama hicho ili wajiunge na chama kingine cha siasa kabla ya uchaguzi mkuu.
Wanachosubiri ni maamuzi ya utatuzi wa migogoro. Kama hawatatendewa haki watahamia ACT Wazalendo.
Rojas anadai amewasiliana na viongozi wa ACT na wanamtarajia sana kwani itakuwa tiketi nzuri sana kwa ushindi wao jimbo la mjini
Bwana Rojas anausubiri uongozi wa chama hicho taifa ufike Geita ili ajiengue na kuhamia ACT. Hakuna Chadema Geita, tena wanaelekea kuzimu.
Wanachosubiri ni maamuzi ya utatuzi wa migogoro. Kama hawatatendewa haki watahamia ACT Wazalendo.
Rojas anadai amewasiliana na viongozi wa ACT na wanamtarajia sana kwani itakuwa tiketi nzuri sana kwa ushindi wao jimbo la mjini
Bwana Rojas anausubiri uongozi wa chama hicho taifa ufike Geita ili ajiengue na kuhamia ACT. Hakuna Chadema Geita, tena wanaelekea kuzimu.