Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Thibitisha hili kwa kuruhusu Scotland yards wafanye kazi hii, unatuhumu huku hamtaki uchunguzi huruSijui Mbowe anajisikiaje anavyomuona Lissu anarecover kwa kasi ya ajabu,nadhani alikuwa hajui kama Mungu pekee ndie anatoa na kutwaa
Yafadhiliwe na serikali wakat huo wanaficha atapelekwa nchi gani baada ya nairobi, wakat huo wanaishutumu serikali, akiri kidogo uwe unatumia.Ndugu wameamua kumchukua mgonjwa wao baada ya kuona chadema wanafanya Tundu kama Trophy,wanamtumia kisiasa huku akizidi kuteketea michango wanatafuna,kazi kwenda kupiga picha tu na kurusha mitandaoni.
Kwa sasa matibabu yatafadhiliwa na serikali,kwa aibu chadema wakasema wanajiweka pembeni kwa sababu waliongea mbovu sana siku za kwanza za maafa.
Hujui chochote bendera fuata upepo,subiri utatangaziwa utaratibu utanyweaYafadhiliwe na serikali wakat huo wanaficha atapelekwa nchi gani baada ya nairobi, wakat huo wanaishutumu serikali, akiri kidogo uwe unatumia.
Ni swali la kiintelligence ila wewe mweupe huelewi kimaudhui,umeongea mambo makubwa mawili katika sentensi moja,yaweke bayana.Wewe jasusi kweli bado mweupe sana. Shauri yako.
Huwa siongei mara Kwa mara. Ila nasema, Lissu msimrudishe tz.
Una ushahidi gani au we naye jinga lao tuNdugu wameamua kumchukua mgonjwa wao baada ya kuona chadema wanafanya Tundu kama Trophy,wanamtumia kisiasa huku akizidi kuteketea michango wanatafuna,kazi kwenda kupiga picha tu na kurusha mitandaoni.
Kwa sasa matibabu yatafadhiliwa na serikali,kwa aibu chadema wakasema wanajiweka pembeni kwa sababu waliongea mbovu sana siku za kwanza za maafa.
Mbowe amekiri kwenye hotuba yake kwamba familia ilifanya kikao na ofisi ya bunge fuatilia mamboUna ushahidi gani au we naye jinga lao tu
Eti ni swali la kiintelligence, ha ha ha. Duh.Ni swali la kiintelligence ila wewe mweupe huelewi kimaudhui,umeongea mambo makubwa mawili katika sentensi moja,yaweke bayana.
Unaugua ndiyo maana huo mantiki,ID inajieleza.Eti ni swali la kiintelligence, ha ha ha. Duh.
Huyo uongo ni sehemu ya maisha yake kaka!Unapata wapi kuongea uongo huo? Serikali ipi inayokwenda kumtibu Lissu?
For the moment mgonjwa kawaachia Acacia iendelee kuwaabisha ktk jukwaa kubwa mlilojiandalia ili makajipe sifa na kuchafua wengine wote.Ha ha ha, naona unaanza kupanick. Mgonjwa anaendeleaje leo na hao malaika weupe?