stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,385
- 3,494
Watanzania wote walikuwepo hapo nyomi si la kitoto
tuwekeeni basi izo picha jaman
Watanzania wote walikuwepo hapo nyomi si la kitoto
Chukua hiyo mkuuwacha we, naskia kulikua hamna pa kukanyaga
Chukua hiyo mkuu
Sisi tutaendelea kukumbusha tuHotuba nzuri sana na iwafikie wale waliolewa Madaraka huko juu.
Ninashauri kuwepo mawakala wa kutoa huduma hii kila kona ya nchi.Mungu mbariki Mbowe na Chadema
Mkuu hii hotuba ni kabambe sanaNaona uchungu ktk nyuso za hadhira ya wana CHADEMA wanaosikiliza hotuba hii ukumbini na sisi tunaosikiliza ktk mfumo wa digital pia hotuba hii tumeikubali na kuielewa kama wenzetu wa huko Rungwe.
Mdharau mwiba mguu huota tense.Eti kama wapigania Uhuru vituko haviishi
unataka kutafuniwa kila kitu !Katika hiyo hotuba Mrema amesema na nanukuu"Mtume Muhammad (SAW) alisalitiwa na masahaba wake"
Just curious usaliti huo ulitokea lini na wapi na kwa ushahidi gani?
Kuhangaika na Mamluki kama wewe ni kupoteza mudaYesu tulitajiwa alisalitiwa na Yuda hilo linajulikana kwenye Biblia..Mtume Muhammad (SAW) tunaambiwa alisalitiwa na masahaba !! Masahaba ni wafuasi wake wa kwanza sasa swali ni majina ya hao waliomsaliti .Sweeping statetments za uzushi hazitasaidia.Nataka facts kwani sira ya Mtume Muhammad (SAW ) inajulikana.
Endelea na Mamluki wenzako , mimi wa kutukana ! waulize waliokutumaHuwezi moto kimbia .Majibu muflis ya kuitana majina ni dalili ya kufilisika kihoja.Unapokuja na hoja za kizushi ujue watu watakuuliza maswali.Huwezi kuyajibu kimbilia matusi.Ndio uwezo wako .
Maji ya kwenye kifuu yakhe.Chungu anaona ni bahari.Duh kweli chadema mmepungukiwa na watu,yani hadi hiyo hotuba ndio bora kwako?