stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,384
- 3,494
Kutokana na Uviko humu ndani ilibidi tuwapange , huko nje ni mtiti Usipime !
hahah safi sana mkuu
Kutokana na Uviko humu ndani ilibidi tuwapange , huko nje ni mtiti Usipime !
Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu...wengi wapeKwani pana tatizo gani hapo mkuu? Kumbuka ni heri 50 waliodhamiria kuliko mamia ya opportunists.
Wakusaidie uondokane na ndoto za mchanaIli iweje sasa ?
Ili Hilo darasa lipate amgalau watu 19Ili iweje sasa ?
Lete picha za huo msululu wa Bonke.Na ni maelfu kweli , huko nje misululu utadhani mkutano wa Bonke
ili uweje sasa ?Lete picha za huo msululu wa Bonke.
hii inaitwa kukata mbuga. Chadema itadumu miaka 800Tulishasena kwamba hakuna kijiji kitakachobaki , lakini kuna watu walidhani tunatania .
Sasa hali halisi iliyojiri huko Msalala ni hii hapa kama mnavyoiona , wananchi kwa maelfu wameamua kujisajili Chadema bila kushikiwa bunduki wala kutishiwa kupewa kesi za kutakatisha pesa .
View attachment 2019983
Matunda ya hii kazi yatakuwa maradufu.Inatia moyo sana kuona CHADEMA inapenya mpaka maeneo hayo ya vijijini.
Hongereni sana kwa kazi hiyo takatifu. Najua kadi hazitolewi kimya kimya bali zinaambatana na elimu ambayo matokeo yake yatakuja kuonekana mbeleni.
Mtaa wa saba kama kawaida yao.Kujuana kidigitali kama wanachama hai ni jambo muhimu mno makamanda, so far so good !! washaanza kuchachawa mtaa wa saba.
Amina na watu wanaendelea kuiamini.Pengine lile neno “kwa maelfu” limemchanganya. Binafsi nimekuelewa mkuu. Injili ya CHADEMA inasonga mbele
Asante. Kazi inapigwa hakuna kulalaHongereni chadema
The only Trusted Political PartyHongereni wapambanaji wote, CDM Ni tumaini muhimu la Watanzania.
Sasa picha ya hao waliodarasani umeleta ya Nini?ili uweje sasa ?
sasa wewe eti katibu mwenezi Shaka Hamdu !M
Mtaa wa saba kama kawaida yao.