Saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka Injili.
Huu ni Uzushi sisi wabeba mabox hatutoenda huko Box atalifanya nani .. na rent tutalipaje, watakaoenda huko kupoteza muda ni wale wale wachache..ndio maana wanawahonga bia na msosi maana hamna atakae enda huko...Huku jangwani kukizidi kupendeza huko DC Msigwa, Nasari na Zitto wanatarajiwa kufunia kwenye mkutano unaotarajiwa kufanyiaka muda si mrefu kuanzia sasa utakao huduliwa na watanzania zaidi ya 2000. pamoja na mkutano huo makamanda hao watafungua tawi la Chadema kwa kushirikiana na jumuiya ya watanzania wanaoishi Marekani, nikiongea na Kamanda Nasari alisema "we want them to be involved in social economical and political affairs eg katiba mpya." wengi wanatarajiwa kuvua magamba na kuvalishwa magwanda huko huko.
Mungu ibariki Chadema izidi kusonga mbele.
View attachment 54664
Saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka Injili.
Upo? mwaka huu mtaungua magonjwa ya moyo...nakushauri uhame kwani CCM ni ukoo wenu? maana kama ni dini,timu, kabila watu wana hama mfano Lowasa alihama kabila......Saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka Injili.
Upo? mwaka huu mtaungua magonjwa ya moyo...nakushauri uhame kwani CCM ni ukoo wenu? maana kama ni dini,timu, kabila watu wana hama mfano Lowasa alihama kabila......Saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka Injili.
Pole sana naona bado uko usingizini...Huu ni Uzushi sisi wabeba mabox hatutoenda huko Box atalifanya nani .. na rent tutalipaje, watakaoenda huko kupoteza muda ni wale wale wachache..ndio maana wanawahonga bia na msosi maana hamna atakae enda huko...
Mbona ueleweki kijana DC Msigwa ndiyo wapi?
Saizi saa saba nimepita jangwani mbona hamna watu kuna viti vya plastik kama 20 tu kwa mbali utadhani kuna kamkutano ka Injili.
Mbona ueleweki kijana DC Msigwa ndiyo wapi?