MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,604
Kumbuka hivyo vyama vilivyokufa, vilikuwa hai na wakati fulani ndivyo vilivyokuwa na nguvu bungeni.mkuu nakuunga mkono 100%. Huyu mleta hii thred ni msanii, na hii kitu haipo. Hakuna kiongozi yeyote wa chadema anayeweza kukubali upuuzi huu. Kwani Dr na kamanda Lema huo mtafaruku wanaoiletea ccm huko mwanza hamjasikia? Sasa ya nini kwenda kumchukua hata Mrema aliyejichokea? Cuf ni ccm B.hapo hamna logic, mods tupa hii kwenye jukwaa la umbea kama lipo!
Na moja ya sababu za kufa kwao ni sera za CCM za "wagawe uwatawale". CCM hufurahi sana wakiona upinzani unagawanyika hasa katika mambo ya msingi. Sisemi kuwa CDM haina uwezo wa siku moja kuja kuwa na nguvu na kuwa chama tawala, lakini kwa hili CDM peke yao hawaliwezi, wanavihitaji vyama vyegine, wanawahitaji Watanzania wote.