CHADEMA Bunda.

Kama wamekosa Mgombea wamweke hata Mganga wa kienyeji coz wanapenda kutumia waganga wa Kienyeji.
 
Nafurahi kusikia ni habari nzuri kwangu. Ndo naelekea kwenye mkesha wa mwaka mpya, najua ni mwaka wa mafanikio.
 
pendekeza kaburi liwe wapi?

kaburi litakuwa dodoma pale chimwaga ambapo Lowasa, Membe, Sitta, makamba jr, migiro na salim salim watakuwa watumbukizaj maiti kaburin. pole CCM.
 
Msalani na Ifweero mnacheki chama chenu cha mizigo kinavyohangaika kuelekea kaburini?
 

pole kamanda acha niweke ka sim ka mchina na ccm. hapa sombetini tunashinda kwa kishindo ka sim ndo diwani kuliko mtu wa ccm hata aje mkapa.......hapa kuna kura za cdm tu .....dadadazeki zao..
 
Kama wamekosa Mgombea wamweke hata Mganga wa kienyeji coz wanapenda kutumia waganga wa Kienyeji.

waganga wote wamekimbia huku hata magari yao ya ccm yakija huku yanakuja bila bendera hakika hali ni tete..... ccm hoyeeeeeeeeeee
 
Maccm yako busy kupanga safu ya wabunge maalumu la katiba ili wachakachue rasimu ya warioba hasa kwenye muundo wa muungano!
 
Mbunge wangu kweli alisalimika operation tokomeza ujangili manake nackia walikuwa wanaua mpaka wanyama.
 
Superman Nchemba bado hajatokea kuokoa jahazi? Si unajua ana dream team yake inayojumuisha Tesha, shonza na mwampamba.
 

Jitahidini wasitafute mtu wa kumnunua maana wanaweza kununua hata mwehu ili kuondoa aibu ya kupita bila kupingwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…