CHADEMA Asilia v/s CHADEMA Pesa

View attachment 299401

Huyu Daktari historia baadaye itamtambua kama taa ndani ya giza nene lililoingia kwenye Chadema.

ALIKATAA kabisa KUKAA NA MWIZI. Maisha mema na marefu unaporudi nchini Marekani kuendelea na maisha.
 
Mtaimba mipasho ya kila rangi mwaka huu. MABADILIKO KWANZA hizo ngonjera nyingine mkawaimbie Lumumba maana wao na wasanii kama nyie huwa ni damdam.
 
Lowasa atakuwa namba mbili kama alama ya chama chake
 
baada ya kufungua mlango na kuwaleta walewa pesa waje na kufanya watakavyo kwenye chama, ni muda madhubuti wa kukaa chini na kutathmini ni uharibifu na hasara kiasi gani wamesababisha.
 


Mkuu Umenena,

Ila kwenye CHADEMA Pesa Umewasahau Walio-nacho, i.e. Akina Mengi, Mbowe, Ndesamburo, Rostam n.k. ambao kwao CHADEMA ni kitega uchumi.
 
CHADEMA hatuna mpasuko wala mgawanyiko kama ilivyo CCM maana CCM ndio imegaqanyika na hata Rais Mstaaf JK juzi kati alishasema CCM inawenyewe WENYE CCM vs WAPENDA CCM
 
Asilia tumetembeza viboko vya kutosha kwenye sanduku la kura kukiadhibu chama chetu na kwa sasa hatuko mitaani kushangilia ushindi wa CCM ila tunawaangalia CCM wanavyosheherekea ushindi tuliyo wasaidia kuupata na tunampongeza sana Dr.Magufuli kuwa rais wa5 wa jamuhuri ya Muungano. SALAM ZIMFIKIE DR.SLAA POPOTE ALIPO. TUMEMALIZA KAZI.
 
Historia inaonyesha chama kikienda kinyume na "principle zake" huwa wananchi wanakiadhibu kisawa sawa. Tuangalie miaka inayokuja sijui itakuwaje, naona kama ACT ndio watakao ibuka kuwa alternative, chama cha option.
 
nendeni act kwa nini mnaing'ang'ania chadema?. hamieni act mkaendeleze koko nyie.
 
Unaonekana kuumia sana na hicho chama chenu kwaani si uondoke uende hata act au ccm kuliko kuumia roho kwaani CDM ndy imekuzaa
 
Waliojiita chadema asili walikuwa wanatumiwa na Masaburi kuandamana mkaishia viboko na kumtaja aliyewatuma.
 
CDM imekuwa makapi, na wabunge wao wakisema ufisadi na rushwa tutacheka sana.
 
Muda wa Dr.Slaa kukumbukwa ni sasa.
naona wenye akili wameanza kukaa chini na kufikiria hili, ila kusema ukweli na nadhani wengine wamelisema, Dr. Slaa labda alikuwa sawa au hakuwa sawa kuondoka.

Waliojiita chadema asili walikuwa wanatumiwa na Masaburi kuandamana mkaishia viboko na kumtaja aliyewatuma.
walijiita, hawakuwa asilia kweli, wale asilia kweli walikuwa wamekaa nyumbani wanasubiri tarehe 25 Oct wafanye kweli
 
Habari ndio hiyo sasa. Tunarudia kutoa tangazo kwa niaba ya chadema asilia, tunajua Mbowe unalijua hili. Tunakutaka ujipime mwenyewe na ujiuzuru haraka iwezekanavyo wewe pamoja na group lako ambao mliwapokea mafisadi ukawa kwa tamaa zenu tu. Wapo wengi wanamudu nafasi zetu kwa hiyo msidhani nyinyi ni miungu watu, wengine hawatazimudu kuzisimamia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…