CHADEMA Asilia v/s CHADEMA Pesa

CHADEMA Asilia v/s CHADEMA Pesa

Chadema asilia tunasuburi chama chetu October 25,mabadiliko fake yatavyoshindwa kwa aibu.

Umekuwa lini CHADEMA ???Au baada ya Dr.Slaa kukaa pembeni???Mh!!!!!!!!!!!!!!!!!Msijemkawa mnasubiria mkono wa binadamu kukatika kama fisi
 
Ulitaka tufanyeje? Kila mwenyekiti wa chama katoka CCM ,na ni bora kuivunja kabisa CCM na ndio utakuwa mwanzo wa mabadiliko!!! Hakuna chama cha upinzani ambacho kinakosa kada wa zamani wa CCM-Take a note
 
Sijui ni nani alieturoga ghafla hivi makamanda

Yaaan miaka nane hatutak mafisad lakin ndan ya miez miwili tukawakatibisha na kuwaosha kisa pesa?

Kweli chadema haukuwa mpango wa mungu tushike dola

Mapenzi ya mungu yatimizwe
 
MI KURA YANGU SIO SIRI NI YA WAZI CHADEMA ✔✔✔ SINA USALITI...

Huyo aliyekutuma kutupotosha MWAMBIE
"AKAJIPANGE AJE UPYA"
 
Bahati mbaya ni kwamba Chadema Asili tutamchagua MAGUFULI!
 
Mbowe na wenzake aliouza CHADEMA watavuna walichopanda,nakumbuka kauri ya zitto alisema baada ya uchaguzi watamkumbuka lipumba na slaa.

Wanachadema alisia wanampigia Magufuli
 
Mnatukera!!!! Mnajitekenyaa wee mpaka mnapitisha na gesi kwa chini
 
Mimi ni CHADEMA asilia, 2005 nilimpa Mbowe kura yangu, Vijana wakanibeza baada ya hapo wakaanza kulalamika wao na viongozi wao, 2010 nikampigia Dr.Slaa kura zetu zikachakachuliwa, ila mpaka leo bado naamini dokta alishinda 2010, ila kuna baadhi ya vijana walitubeza. Je leo yako wapi? waliotubeza ndo maisha yamewapiga wana laamu kuliko hata sisi waasisi wa kukataa utawala wa CCM. Ila uchaguzi huu CHADEMA niliyoiamini na kuisemea na kujivunia imenikatisha tamaa sana. So kura yangu lazima nimpe John Pombe Joseph Magufuli angalua anajitambulisha kwa uchapa kazi na record ya utendaji kazi wake na kuwawajibisha walio chini ya ina mnadi. Je Lowassa ana kipi alichofanya nchi hii cha kujivunia? Je Lowassa alishawahi kumwajibisha nani kule kote alikofanya kazi?
 
Wana CHADEMA Asilia wanasema Sumaye na Lowassa ndiye aliagiza kuwapiga wapinzani iweje leo wana uchungu na mtu wa KAWAIDA?

hawataki uigizaji.
 
Back
Top Bottom