CHADEMA Ardhini, CCM na Serikali yake Angani

Kwa hili ccm wamepigwa bao la kizigino. Watake wasitake huo ndiyo ukweli wenyew!
 
Rafiki wa kweli utamjua wakati wa matatizo pindi yanapokupata. Viva chadema kwa kuwa karibu na walalahoi wa kitanzania na kuyaangalia matatizo yanayowakuta kwa jicho la karibu sana. Keep it up guys
 
Mpaka Slaa anatoa waraka wake, hamna mwanachadema yeyote aliyekuwa amefika kwenye eneo la tukio including Slaa mwenyewe. Baada ya kuwasema hapa ndio wameamua kujibaraguza.
Inabidi watambue kuwa, maafa kama haya inategemea mtu umeguswa vipi.kutoa hela nyingi siyo kigezo cha kuguswa sana. CDM inabidi wajifunze kuact on the spot, siyo wasubiri tuwaseme hapa ndio wakafanyie kazi maoni yetu.
Nawashukuru sana viongozi wa CDM kwa kupenda kuchukua maoni yetu hapa. Huwa wanajidai kutupinga lakini baadaye kinawaingia na kuyafanyia kazi.

Hata mwanachama wa kawaida wa chadema asiye kiongozi hawezi kuchukua ama kufuata ushauri wako. Kwahiyo kwa kiongozi hawezi kuthubutu hata kufikiria kuutafakari ushauri wako ambao kimsingi si ushauri.

Kama ushauri unaowapa ccm ndio ule wa kupeleka misaada mchana na lundo la wanahabari kisha kurudi kuipora usiku, ni mtu asiyetumia akili yake vizuri ndiye anaweza kukusikiliza.
 
Hata mwanachama wa kawaida wa chadema asiye kiongozi hawezi kuchukua ama kufuata ushauri wako. Kwahiyo kwa kiongozi hawezi kuthubutu hata kufikiria kuutafakari ushauri wako ambao kimsingi si ushauri.

Kama ushauri unaowapa ccm ndio ule wa kupeleka misaada mchana na lundo la wanahabari kisha kurudi kuipora usiku, ni mtu asiyetumia akili yake vizuri ndiye anaweza kukusikiliza.
Hayo ni wewe umeyasema. Kupenda kujibaraguza kutawaponza wana CDM.
 
Hv hujui kuwa ccm ndio dola cdm lazima wajikoshe kabla ya 2015 2takuwa na serikal za mitaa,majibu yatapatikana
 
leo ndo nimeamini ukiwa magamba is job true true,any way kigumu chama cha mapinduzi
 
Back
Top Bottom