CHADEMA ama CCM kipi kitanifaa hasa kuelekea 2015?

CHADEMA ama CCM kipi kitanifaa hasa kuelekea 2015?

CCM wenyewe wanajua CDM iko juu ndo maana wanahangaika usiku na mchana kuishusha chini, wanalipa watu fedha ili watoboe siri zilizo ndani ya Chama......Hofu kuu imeitanda CCM.

Chama pekee cha upinzani kinachowaelewa wananchi wanataka nini ni CHADEMA, 2015 Chagua Chadema
 
mimi nadhani c.c.m 2015 itapita kiulaini tu nina sababu zaidi ya 75 tatizo ni mda tu wa kuzifafanua,chadema imechukua picha ya kiudini zaidi,(mrengo wa kushoto)waislamu ikiwa ni 67.5% ya wa tz,nadhani mtakuwa mtajua matokeo yatakuwa vipi!

1. inashabikiwa na waislamu wachache wasiojitambua kama wewe kwa sasa kwakuwa inaongozwa na MFUMO ISLAMU!...
2. Sensa mnakimbia lakini mnakimbilia kutoa takwim uchwara.;
3. Endelea kujidanganya utaona mwisho wa fisadiz.
 
mimi nadhani c.c.m 2015 itapita kiulaini tu nina sababu zaidi ya 75 tatizo ni mda tu wa kuzifafanua,chadema imechukua picha ya kiudini zaidi,(mrengo wa kushoto)waislamu ikiwa ni 67.5% ya wa tz,nadhani mtakuwa mtajua matokeo yatakuwa vipi!


huu ujinga wa udin unaohubiri hapa ningekuwa mod ungekula ban. Mpuuz mkubwa ulekosa malez ya waza wako. Ptuuu
 
We unaona raha eh tukiitajataja CDM humu eh

Hahahahahaha Bana eee, watu wengine wananyege sana za kusikia CDM, aka Chama linatisha na ni chama la waadirifu ukileta zako kama za wasafirisha Pembe za ndovu au kama za wauza sukari iliyoexpire aka wezi Slaa anakufukuza..

Mwenye kupumua hachaguliwe hewa,
 
CCM wenyewe wanajua CDM iko juu ndo maana wanahangaika usiku na mchana kuishusha chini, wanalipa watu fedha ili watoboe siri zilizo ndani ya Chama......Hofu kuu imeitanda CCM.

Chama pekee cha upinzani kinachowaelewa wananchi wanataka nini ni CHADEMA, 2015 Chagua Chadema

Yaani mimi nikisikiaga Chadema huwa roho yangu inapata amani!! Leo niliona RAV4 ina nembo ya M4C ikabidi nisimamishe gari kwanza ipiti kwa nilivyo na furaha then nikatangulizana nayo, Furaha moyo wangu kuongeza dayz za kuishi!!
 
1. inashabikiwa na waislamu wachache wasiojitambua kama wewe kwa sasa kwakuwa inaongozwa na MFUMO ISLAMU!...
2. Sensa mnakimbia lakini mnakimbilia kutoa takwim uchwara.;
3. Endelea kujidanganya utaona mwisho wa fisadiz.
mimi si mgonjwa wa siasa wala sipo chadema wala c.c.m mafanikio ya maisha yangu yanaletwa na juhudi zangu si juhudi za mgombea yoyote wala kiongozi yoyote!!!
ningekuwa na la kuwashauri vijana ningewashauri wasivae vitambaa vya chadema wala kofia za c.c.m hakuna mwanasiasa mwenye uchungu na mwananchi woooooooooooote mnalilia matumbo yenu,na mkipigania maslahi ya wananchi huwa ni chenga la macho tu,umaskini na ujinga wa vijana wengi huchangia kukurupuka kwao kila wanaposikia mwokozi kafika kumbe ni muuwaji ila kwa sura na agenda tofauti,siasa ni uongo na ni kupoteza mda wako bila ya manufaa yoyote ya msingi:shut-mouth:
hapo kwenye red,mimi ni muislamu na najitambua kuliko unavyodhani,sikurupuki niko fiti kila kona!!!!:shut-mouth:
 
be blessed mkuu wangu, nawe ulale salama na uiote tzania yetu ikiwa njema, yenye amani na upendo kama enzi za mwalimu nyerere kuliwa shwari naskia mpaka rahaa..:second::second::second::second::second:pamoja tuijenge tzania yetu nzuri
you better do that my dear, nchi imeoza tayari lakini kabla haijatupwa kwenye dustibin, watanzania wote tunayo nafasi ndogo sana ya kuisafisha na kupulizia pafyum. Ucku mwema.
 
huu ujinga wa udin unaohubiri hapa ningekuwa mod ungekula ban. Mpuuz mkubwa ulekosa malez ya waza wako. Ptuuu

kwa nini huyo mod asikuban wewe??!!

jibu hoja kwa hoja nimetoa mtazamo wangu toa wakwako,shida ipo wapi?? hayo maneno ya rangi nyekundu yanaonesha watu wa mfano wako ni wa namna gani:shut-mouth: tusitishane na ban nina username zaidi ya 85 kazi kwako
 
mimi si mgonjwa wa siasa wala sipo chadema wala c.c.m mafanikio ya maisha yangu yanaletwa na juhudi zangu si juhudi za mgombea yoyote wala kiongozi yoyote!!!
ningekuwa na la kuwashauri vijana ningewashauri wasivae vitambaa vya chadema wala kofia za c.c.m hakuna mwanasiasa mwenye uchungu na mwananchi woooooooooooote mnalilia matumbo yenu,na mkipigania maslahi ya wananchi huwa ni chenga la macho tu,umaskini na ujinga wa vijana wengi huchangia kukurupuka kwao kila wanaposikia mwokozi kafika kumbe ni muuwaji ila kwa sura na agenda tofauti,siasa ni uongo na ni kupoteza mda wako bila ya manufaa yoyote ya msingi:shut-mouth:
hapo kwenye red,mimi ni muislamu na najitambua kuliko unavyodhani,sikurupuki niko fiti kila kona!!!!:shut-mouth:


Kwa maelezo haya huwezi kuwa muislamu anayejitambua. Sana sana wewe nenda kajiandae kulipua makanisa na kutimiza maagizo ya ustaadhi ILUNGA.

Uko fiti kona zipi?!.. Mombasa unaenda?
 
hello master peace don't you like peace???????? huwa sipendi ushabiki wa kuboa kama huu wako.. vp umezoea sana bifu na watu. please epuka hilo take my advice fanya yenye kujenga na kiutu uzima hakuna watoto humu.:A S 114::A S 114::A S 114::A S 114:pamoja tuijenge tanzania yetu nzuri
Masalia at work.
 
[/COLOR]
kwa nini huyo mod asikuban wewe??!!

jibu hoja kwa hoja nimetoa mtazamo wangu toa wakwako,shida ipo wapi?? hayo maneno ya rangi nyekundu yanaonesha watu wa mfano wako ni wa namna gani:shut-mouth: tusitishane na ban nina username zaidi ya 85 kazi kwako

Mwakibete umeona gamba hili?...
 
here don't ask who. were together, were once, njooni tutafute kwa pamoja nini cha kutuvusha 2'15 bila kubaguana kama hivi,. i love you ol guys.:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:tuipende tanzania yetu nzuri
 
Kama hujui mpaka leo utasumbua nenda Magamba


Wanajamvi,

Nimefikiria sana nikaona niachane na siasa za kishabiki mara huku mara kule, ilimladi tu upepo unapovuma. Nahitji kukaa nikatengamaa nifungane na chama kimoja tu. Cheni thabiti ya kutuvusha katika hili vuko lijalo kubwa sana kuelekea 2'15.

Najua na naami hasa hapa jamvi hapokesekani wajuzi, wazoefu zaidi wa siasa. nishaurini ili mapema niende nikajiunge ili nami niwe mwanachama halisi, nisieyumbishwa wala kufuata upepo.

karibuni kwa ushauri wenu wakuu. Pamoja tuijenge Tanzania yetu nzuri.
 
Mwakibete umeona gamba hili?...
mnafeli masomo na maisha mnakimbilia siasa,kwa maana hiyo mnabanana kwenye siasa kwa kuwa matarajio yenu mtafanikiwa kimaisha kupitia siasa na ukweli ni kwamba watakaofanikiwa ni viongozi tu nyinyi walalahoi nguvu zenu na kujituma kwenu katika harakati za kutafuta maisha ndio itawaletea mafanikio yenu!
msijenge matarajio juu ya shimo la nyoka:shut-mouth:
 
thanks mary as i can see ua id unaifurahia sana chadema but hao wanaolipwa wanaweza kuwa kweli wanatoa siri za kweli au ni uongo??? maana hapo naona mguu ndani mguu nje.:A S angel::A S angel::A S angel::A S angel::A S angel:pamoja tuipende tanzania yetu nzuriUOTE=mary mary;5783976]CCM wenyewe wanajua CDM iko juu ndo maana wanahangaika usiku na mchana kuishusha chini, wanalipa watu fedha ili watoboe siri zilizo ndani ya Chama......Hofu kuu imeitanda CCM.

Chama pekee cha upinzani kinachowaelewa wananchi wanataka nini ni CHADEMA, 2015 Chagua Chadema[/QUOTE]
 
Kama hujui mpaka leo utasumbua nenda Magamba
mkuu mbona umekuja na jazba vip kuna kitu nimekukera au hukuielewa thread yng????? o umeielewa then unanifanya sijui niulizacho.. usiwe na chuki binafsi mkuu.. njoo tujengena si kubomoa.:A S angel::A S angel::A S angel::A S angel:pamoja tuijenge tanzania yetu nzuri
 
mimi si mgonjwa wa siasa wala sipo chadema wala c.c.m mafanikio ya maisha yangu yanaletwa na juhudi zangu si juhudi za mgombea yoyote wala kiongozi yoyote!!!
ningekuwa na la kuwashauri vijana ningewashauri wasivae vitambaa vya chadema wala kofia za c.c.m hakuna mwanasiasa mwenye uchungu na mwananchi woooooooooooote mnalilia matumbo yenu,na mkipigania maslahi ya wananchi huwa ni chenga la macho tu,umaskini na ujinga wa vijana wengi huchangia kukurupuka kwao kila wanaposikia mwokozi kafika kumbe ni muuwaji ila kwa sura na agenda tofauti,siasa ni uongo na ni kupoteza mda wako bila ya manufaa yoyote ya msingi:shut-mouth:
hapo kwenye red,mimi ni muislamu na najitambua kuliko unavyodhani,sikurupuki niko fiti kila kona!!!!:shut-mouth:

Tunasafari ndefu sana kama ndevu zako mkuu! Wewe kinachokusumbua ni ugonjwa uleule maana unajua kabisa kuwa ni chama gani kinafaa lakini kwa sababu ya ugonjwa wenu mlioanza kuugua 2010 basi unajifanya kipofu,kiziwi wakati hali halisi unaijua! Sisitaki mbichi hizi!

Kama ndugu yangu hamtaachana na huu ugonjwa mnaoung'ang'ania basi lazima mtajuta huko mbele maana dhambi ya ubaguzi haina mwisho ni lazima hata tukiwaachia wenyewe peke yenu ni lazima mtabaguana tena humohumo ndani na itawatafuna mpaka mkose mwelekeo!


Wewe kama kweli uko neutral kwa nini usiwe real? Hata ukimuuliza mtoto wa miaka mitano kati ya ccm na chadema nani zaidi atakwambia chadema noma! Kwanini usiwe mkweli tu hata kama huipendi chadema lakini ndiyo tegemeo la watanzania kwa sasa! Get real ndugu yangu na Mungu atakubariki lasivyo utaendelea kuumia tu maana kama Mungu amesema ni Chadema hakuna atakaye sema hapana! Hutakaa ubadilishe maamuzi ua Mungu kwa kuukataa uhalisia wa mambo yananyoonekana kwa kila mtu!

Chadema ni watu waungwana sana hata wewe unayewachukia ni shahidi maana hata ukiambiwa utoe tuhuma kwa chadema wewe kama wewe hutakuwa nayo hata moja utaishia kusema wanasema na wala wewe hujaona!

Nakupa changamoto uwatangazie watanzania kupitia mtandao huu tuhuma moja tu unayoijua wewe kama kosa la chadema kwa watanzania!
 
mnafeli masomo na maisha mnakimbilia siasa,kwa maana hiyo mnabanana kwenye siasa kwa kuwa matarajio yenu mtafanikiwa kimaisha kupitia siasa na ukweli ni kwamba watakaofanikiwa ni viongozi tu nyinyi walalahoi nguvu zenu na kujituma kwenu katika harakati za kutafuta maisha ndio itawaletea mafanikio yenu!
msijenge matarajio juu ya shimo la nyoka:shut-mouth:
heee vipi tena mkuu unaugomvi na maisha yako???? naona umeshakata tamaa ya maisha wewe sasa. inamaana hujui maisha yako toka unavoamka hadi kulala tena ni siasa??? nambie sasa unga kupanda bei nini chanzo??, sukari, mafuta pombe mnazokunywa jee?/ hayo mafuta?? unadhani ni nini chanzo???? tulia na ufikirie kabla ya kudakia majibu ya mgando hayo.:dizzy::dizzy::dizzy::dizzy::dizzy::dizzy::dizzy::dizzy:pamoja tuijenge tanzania yetu nzuri
 
Tunasafari ndefu sana kama ndevu zako mkuu! Wewe kinachokusumbua ni ugonjwa uleule maana unajua kabisa kuwa ni chama gani kinafaa lakini kwa sababu ya ugonjwa wenu mlioanza kuugua 2010 basi unajifanya kipofu,kiziwi wakati hali halisi unaijua! Sisitaki mbichi hizi!

Kama ndugu yangu hamtaachana na huu ugonjwa mnaoung'ang'ania basi lazima mtajuta huko mbele maana dhambi ya ubaguzi haina mwisho ni lazima hata tukiwaachia wenyewe peke yenu ni lazima mtabaguana tena humohumo ndani na itawatafuna mpaka mkose mwelekeo!


Wewe kama kweli uko neutral kwa nini usiwe real? Hata ukimuuliza mtoto wa miaka mitano kati ya ccm na chadema nani zaidi atakwambia chadema noma! Kwanini usiwe mkweli tu hata kama huipendi chadema lakini ndiyo tegemeo la watanzania kwa sasa! Get real ndugu yangu na Mungu atakubariki lasivyo utaendelea kuumia tu maana kama Mungu amesema ni Chadema hakuna atakaye sema hapana! Hutakaa ubadilishe maamuzi ua Mungu kwa kuukataa uhalisia wa mambo yananyoonekana kwa kila mtu!

Chadema ni watu waungwana sana hata wewe unayewachukia ni shahidi maana hata ukiambiwa utoe tuhuma kwa chadema wewe kama wewe hutakuwa nayo hata moja utaishia kusema wanasema na wala wewe hujaona!

Nakupa changamoto uwatangazie watanzania kupitia mtandao huu tuhuma moja tu unayoijua wewe kama kosa la chadema kwa watanzania!
umejichosha kuandika maneno mengi sana yasiyonaumuhimu wowote kwangu!
mungu ibariki tanzania,wabariki viongozi wake:shut-mouth:
 
Back
Top Bottom