shedyboi
Member
- Jan 21, 2012
- 93
- 5
Wanajamvi,
Nimefikiria sana nikaona niachane na siasa za kishabiki mara huku mara kule, ilimladi tu upepo unapovuma. Nahitji kukaa nikatengamaa nifungane na chama kimoja tu. Cheni thabiti ya kutuvusha katika hili vuko lijalo kubwa sana kuelekea 2'15.
Najua na naami hasa hapa jamvi hapokesekani wajuzi, wazoefu zaidi wa siasa. nishaurini ili mapema niende nikajiunge ili nami niwe mwanachama halisi, nisieyumbishwa wala kufuata upepo.
karibuni kwa ushauri wenu wakuu. Pamoja tuijenge Tanzania yetu nzuri.
Nimefikiria sana nikaona niachane na siasa za kishabiki mara huku mara kule, ilimladi tu upepo unapovuma. Nahitji kukaa nikatengamaa nifungane na chama kimoja tu. Cheni thabiti ya kutuvusha katika hili vuko lijalo kubwa sana kuelekea 2'15.
Najua na naami hasa hapa jamvi hapokesekani wajuzi, wazoefu zaidi wa siasa. nishaurini ili mapema niende nikajiunge ili nami niwe mwanachama halisi, nisieyumbishwa wala kufuata upepo.
karibuni kwa ushauri wenu wakuu. Pamoja tuijenge Tanzania yetu nzuri.