CHADEMA: Adui yetu ni CCM, sio mtu wala sio umaskini

CHADEMA: Adui yetu ni CCM, sio mtu wala sio umaskini

Lowassa alikuwa malkia wa ufisadi, CCM sasa imebaki salama.

Vipi kuhusu wahusika wa ESCROW na tuhuma nyingine za ufisadi si bado wapo CCM

Ufisadi ni mzizi wa CCM na mwaka huu lazima ukatwe
 
Hata akija Shetani au Shelumindo kuja kusaidia kuiondoa CcM ni sawa tu.

UKAWA kwanza, vyama badaye sana. UKAWA for life.
 
Chadema ni mazombi sana.ntamshangaa sana slaa siku atakaposimama jukwaani kumsifia lowasa
 
Back
Top Bottom