Gilbert the Lion
Member
- Dec 20, 2016
- 10
- 1
Hizo ni strategic za siasa....nobody believe that....
Kuanzia mwenyekitiKati ya Wakuu wa mikoa wallioteuliwa, tisa ni kutoka Usukumani.
HaweziWanasiasa wote ni ndugu,
Mkuu naomba unitajie majina ya wabunge wa viti maalumu kutoka CDM.
NdotoKinachoendelea Leo hapa Tanzania kinaweza kuboost upinzani in year 2020
Lowasa na viongozi wa Chadema wanafanya ziara huko mikoani. Tulishauri Chadema kuanzisha vyombo vyao vya habari kwa ajili ya kueneza sera za chama na propaganda.Kuna Twitter,Facebook,Instagram na Youtube hizi ni platform za bure ambazo Chadema wameshindwa kuzitumia vizuriTatizo mikutano imezuiwa, wataenda kueleza wapi?
ndio mliobaki nayo kwa sasaChadema ni dampo la ccm,
Wazee, mafisadi, wachawi,wazembe kazini kutoka ccm kimbilio lao ni Chadema!
wewe unajua kinachoongelewa ama unaleta ushabiki tu. Kimevukaje wakati mitaani wapo bize wajinga wanaoaminisha watu kwamba CHADEMA ni Kaskazini na wapo wanoamini?Hahaha mtasaga sana meno juu ya propaganda za ukanda na ukabila...Chadema imesha vuka hapo since 2010
Kwani operesheni kata funua wameitangazia wapi?Tatizo mikutano imezuiwa, wataenda kueleza wapi?
Anamiliki pesa ya kutosha kuinunua chademaPesa imefanya nini? Acheni ujinga wa kumfanya Lowassa kama anamiliki hela za dunia nzima!
wewe unajua ya CCM huku yalio ndani ya chadomo yamekushinda, unadai demokrasia huku ndani ya chadomo hakuna demokrasia mbowe mwenyekiti tangu enzi za mh MkapaMimi nashangaa sana kama hadi sasa kuna mtu anayejiita Great thinker halafu hajui madhambi ya CCM na anajaribu kuwatetea... hii ni hatari kwa jamii...All in all siasa ni mchezo mchafu...
ulisahau na hili; chadema ni kikundi cha wafanyabiashara, ni kinalinda maslahi ya mtei, ni mtei ndo mwenye mamlaka nani awe mwenyekitiKwa mfano mpaka sasa wapinzani wa CHADEMA wamefanikiwa kuwaaminsha watu kwamba CHADEMA ni chama kinachodhibitiwa na Wakristu na watu Kaskazini. Lakini wakati inashutumiwa hivyo, CCM inashutumiwa asilimia zaidi ya 60 Makatibu wa CCM walikuwa ni waislamu lakini CCM haikuitwa ni chama cha Waislamu!
Ndo ssm ilivyokupumbaza na akili yako kitenesi kuwa kila anayeipinga ni chadema pasipokufahamu kuna wakosa chama pole yako.....wewe unajua ya CCM huku yalio ndani ya chadomo yamekushinda, unadai demokrasia huku ndani ya chadomo hakuna demokrasia mbowe mwenyekiti tangu enzi za mh Mkapa
Agenda bado ipo bali wao wenyewe mpaka sasa wameshindwa kuwaeleza wananchi jambo ambalo lipo wazi kuhusu Lowassa na ufisadi wa Richmond. Hawasemi ni "Ushahidi" gani waliokuwa nao hadi wakamwita Lowassa "fisadi" na ni ushahidi gani waliioupata baadaye uliohalalisha wao kukubali kumpitisha Lowassa kuwa mgombea Urais kwenye uchaguzi wa Mwaka 2015. Wako kimya tu.
Watu kama hawa wamelishwa ujinga hadi umewakolea na umegeuka ugonjwa wa akili zao na wanaambukiza na wengine pia. Nakumbuka mwaka 1995 watanzania walipolishwa ujinga kwamba NCCR-Mageuzi ni chama cha wachaga na ndiyo maana bendera ya ina milima Kilimanjaro na watu wakaamini huku kwenye noti zetu kumesheheni picha za Mlima kilimanjaro. Sijui nazo ni za wachaga?Chaga Development Manifesto (CHADEMA) zana hii haito watoka
matusi ya nn, husiwe kama lissu, leta hojaNdo ssm ilivyokupumbaza na akili yako kitenesi kuwa kila anayeipinga ni chadema pasipokufahamu kuna wakosa chama pole yako.....