Mwaka 1985 nikiwa mahabusu pale Bunda, ulinisaida wewe na familia yako mara baada ya kujidhamini mimi mwenyewe mahakamani (Hakimu alikuwa anaitwa Monica). Ulinichukua hadi nyumbani kwenu. Nililala usiku mmoja. Ulinitafutia nauli ya kusafiri hadi nyumbani Tarime. Wakati huo nauli ilikuwa shilingi 100. Kwa sababu ya changamoto za mawasiliano kwa wakati ule, tulipoteana.
Kama upo humu au kuna mtu anakufahamu habari zako, naomba kujulishwa:
Namba yangu ya simu ni: 0756 463 578.
Shukrani!