Cha kufanya siku ya 5/2/2011

Anko,
Chembe na chembe mkate huwa...Jamiiforums ina nafasi kubwa sana katika kuhamasisha na kufufua na kulipua cheche za fikra!..Mfano ni mimi mwenyewe, kabla sijajiunga hapa nilikuwa sina ufahamu mkubwa wa masuala mengi ya nchi yetu...
Kila mmoja wetu akiwaambia jamaa zake aliyokutana nayo hapa na kuhamasisha, then mwisho wa siku tuna converts wengi tu!...Nia si kuwafanya watu wawe waasi, bali kuwajaza ufahamu wa yanayoendelea ili waamue wenyewe juu ya nchi wanayoimiliki!

mJOMBA TUKO PAMOJA, ...PLAY YOUR PART...IT WILL BE DONE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…