Cha kijifunza kwa hilda

Cha kijifunza kwa hilda

Hii nchi huwez kuielewa kama wewe si chawa au mvuta bangi. Turelex tu wanangu mimi hasira zinataka kunimaliza.
 
Huna unachojua bro

Tulia kabsia

Chadema Pandikizi kibao

Mapandikizi ndani ya Chadema Ni kama Elinino ilivyoacha mabalaa, Ni wengi mno na nafikiri wakikaa na kuanza kuchambua watapata theluthi moja Safi na mbili itakuwa mapandikizi na ndio hao wanasumbua mpaka wamemuweka ndani Mwenyekiti kwa kesi ya kubumba
 
Polisi wamekuwa zaidi ya majambazi, hawa criminals kazi yao kubwa sasa ni kuua, kuteka, kubambikia kesi na kusaidia wizi wa kura, jeshi la kishenzi kabisa
 
Huna unachojua bro

Tulia kabsia

Chadema Pandikizi kibao
Kumbe hujui dunia ,hakuna taasisi kubwa duniani ambayo itakosa mapandikizi ila ni kazi ya taasisi husika kulinda mifumo ya taasisi, wewe unafikili ccm hakuna mapandikizi, vipi siku ukajua Mzee wasira ni pandikizi na wengine na wengine.

Mashirika makubwa ya kijasusi yamepandikizwa mapandikizi sembuse kwetu hapa ,ambapo police wanataka kumlawiti mzee, achana na kupiga watu wasiokua na makosa na kuwatupa mapolini.

Laana iliyoje yani mzee wa umri ule ,unamwambia geuka tukufanye ,hao ni kutoka jeshi la police ndani ya nchi ,vipi wakipekwa nje ya mipaka watafanya ya hovyo mangapi?

Alafu mtu / chawa na machawa wenzako siku ya nne mnafurahia police wamefanya kwa watz wasiokua na hatia.

Siku zaja juu yenu tusijechaguliana namna ya kuomboleza asema Bwana ,ndo taifa mlitakalo nyie machawa wa ccm
 
Ni serikali kutojiamini, upinzani wtafute muarobaini wa hili la vyombo vya dola kutumika na serikali kuwapunguza nguvu.
Wafanye juu chini, vyombo vya dola nikikwazo kwa vyama pinzani , waachane na yote waangalie upande huo... Wakifanikisha siasa itavutia zaidi..
Muarobaini ni mmoja tu. WaTanzania kuelewa HAKI zao na kukataa kuvurugiwa haki hizo. Hiyo kazi ndiyo wanayoifanya sasa hivi CHADEMA.
Hakuna njia nyingine ya mkato.
 
1. Taarifa mapema kuhusu kukamatwa ni muhimu sana.
2. Kamwe usiamini majibu ya polisi.
3. Ukiambiwa jidhamini uondoke na uko peke yako usikubali, wanakusainisha umejidhamini ukishasaini dhamana wanakukamata, tukija tutaambiwa huyu alijidhamini kaondoka.

View attachment 3317489
Wanakupeleka wapi? Tuanzie hapo
 
Wewe mpumbavu t
Kumbe hujui dunia ,hakuna taasisi kubwa duniani ambayo itakosa mapandikizi ila ni kazi ya taasisi husika kulinda mifumo ya taasisi, wewe unafikili ccm hakuna mapandikizi, vipi siku ukajua Mzee wasira ni pandikizi na wengine na wengine.

Mashirika makubwa ya kijasusi yamepandikizwa mapandikizi sembuse kwetu hapa ,ambapo police wanataka kumlawiti mzee, achana na kupiga watu wasiokua na makosa na kuwatupa mapolini.

Laana iliyoje yani mzee wa umri ule ,unamwambia geuka tukufanye ,hao ni kutoka jeshi la police ndani ya nchi ,vipi wakipekwa nje ya mipaka watafanya ya hovyo mangapi?

Alafu mtu / chawa na machawa wenzako siku ya nne mnafurahia police wamefanya kwa watz wasiokua na hatia.

Siku zaja juu yenu tusijechaguliana namna ya kuomboleza asema Bwana ,ndo taifa mlitakalo nyie machawa wa ccm

Kumbe hujui dunia ,hakuna taasisi kubwa duniani ambayo itakosa mapandikizi ila ni kazi ya taasisi husika kulinda mifumo ya taasisi, wewe unafikili ccm hakuna mapandikizi, vipi siku ukajua Mzee wasira ni pandikizi na wengine na wengine.

Mashirika makubwa ya kijasusi yamepandikizwa mapandikizi sembuse kwetu hapa ,ambapo police wanataka kumlawiti mzee, achana na kupiga watu wasiokua na makosa na kuwatupa mapolini.

Laana iliyoje yani mzee wa umri ule ,unamwambia geuka tukufanye ,hao ni kutoka jeshi la police ndani ya nchi ,vipi wakipekwa nje ya mipaka watafanya ya hovyo mangapi?

Alafu mtu / chawa na machawa wenzako siku ya nne mnafurahia police wamefanya kwa watz wasiokua na hatia.

Siku zaja juu yenu tusijechaguliana namna ya kuomboleza asema Bwana ,ndo taifa mlitakalo nyie machawa wa ccm
Wewe mjinga tutawapiga tu
 
1. Taarifa mapema kuhusu kukamatwa ni muhimu sana.
2. Kamwe usiamini majibu ya polisi.
3. Ukiambiwa jidhamini uondoke na uko peke yako usikubali, wanakusainisha umejidhamini ukishasaini dhamana wanakukamata, tukija tutaambiwa huyu alijidhamini kaondoka.

View attachment 3317489
Hapo nimemtambua mmoja tuu,Wakili MSOMI!
 
Ni serikali kutojiamini, upinzani wtafute muarobaini wa hili la vyombo vya dola kutumika na serikali kuwapunguza nguvu.
Wafanye juu chini, vyombo vya dola nikikwazo kwa vyama pinzani , waachane na yote waangalie upande huo... Wakifanikisha siasa itavutia zaidi..
Kila serikali iliyopo madarakani hujaribu kutumia Dola kwa faida yao, utofauti ni kama kuna taasisi imara na nguvu za kisheria / separation of power ya kweli na sio kwenye makaratasi...

Lakini hakuna mwenye uwezo wa kupambana na wananchi wote kwahio hapo issue ni kuhakikisha vita / sauti za baadhi ya watu zina akisi sauti za UMMA na hio ni rahisi sababu sasa hivi mambo hayapo sawa na wenye nchi wamepigika, hivyo ni kuweza kuwaonyesha na kujitahidi kuwasemea pale ambapo mambo yao hayapo sawa (mvuvi, mkulima, mama lishe, mbangaizaji, wazee na waliomaliza wote ambao hawana ujira) kwa kuwaonyesha mbinu na ni vipi unaweza kubadilisha walivyopigika.. Na sio kuwashukutumu kwamba makosa ni yao sababu hawajakuchagua wewe....

Zaidi ya hapo wanasiasa washakuwa makasongo na wananchi wengi ukiwapiga sound hawakuamini wanajua na wewe ndio walewale unataka upite kwao kama daraja i.e. upate KURA za kwenda Kula...;

Pamoja na hayo watu wanaopigwa na kushikwa ni watanzania kabla ya wafuasi wa chama fulani hivyo kama binadamu tunahitaji kukemea popote pale ambapo mtanzania anapata shida au hapewi haki (awe kahaba, mwizi au hata tunayemuona ni adui) Haki lazima itendeke kwa kufuata sheria tulizojiwekea na kama hazifai tuzibadilishe...
 
Wewe mpumbavu t



Wewe mjinga tutawapiga tu
Haina shida ,ila elewa siku zenu zaja tusije pangiana namna ya kuomboleza , wakulia atalia kivyake, wa kucheka , kucheza mziki atafanya hivyo, tusije kupangiana asema ,Bwana.

Mnajificha kwenye kivuli cha police , sio mda mtatawanyika kwa njia saba msijue pa kutokea asema Bwana
 
Haina shida ,ila elewa siku zenu zaja tusije pangiana namna ya kuomboleza , wakulia atalia kivyake, wa kucheka , kucheza mziki atafanya hivyo, tusije kupangiana asema ,Bwana.

Mnajificha kwenye kivuli cha police , sio mda mtatawanyika kwa njia saba msijue pa kutokea asema Bwana
Wapumbavu nyie subiri hilo

CCM IPO sana chifu na kama unaona uwezi kaa hapa Nchini nenda kwenu Burundi kapige hizo kelele.

Siasa zenu za ugaidi hapa tutazikomesha Kila wakati
 
3. Ukiambiwa jidhamini uondoke na uko peke yako usikubali, wanakusainisha umejidhamini ukishasaini dhamana wanakukamata, tukija tutaambiwa huyu alijidhamini kaondoka.
Tumefikia pabaya sana na hawa tuliodhani ni walinzi wetu kumbe sio kabisa!
 
Back
Top Bottom