Cement kutoka 13500 hadi 14500

Kama uko kilimanjaro nadhani kuna haja nkuconnect na jamaa yangu wa bamburi ila nimempigia naona not reachable ila waweza view iyo website yao itakusaidia ila ungekuwa mikoa ya kusini ungepata offer babu kubwa!
 
Kama uko kilimanjaro nadhani kuna haja nkuconnect na jamaa yangu wa bamburi ila nimempigia naona not reachable ila waweza view iyo website yao itakusaidia ila ungekuwa mikoa ya kusini ungepata offer babu kubwa!

embu fanya huo mpango kabla sijasitisha huu ujenzi wangu.
 
Jamani kuna ujenzi nikuwa nafanya nimezoea kununua cement mfuko mmoja 13500 na mara ya mwisho nimenunua juzi leo nimeambiwa hapo hapo kwenye ilo duka 14500 nikasema shida nini jamani mbona ongezeko kubwa,akajbu ndio gharama za kiwanda zimepanda kisa mgao,jamani tuna serikali au hatuna?haya madhara ya propaganda zao wanayaona au hawaoni kwa kweli imeniuma kila kitu juu sa hivi,tunafaidika nini na hii serikali iliyopo madarakani sukari nanunua 2000 wakati serikali ilisema 1700 kisa viwandani,jamani tunaichukulia hatua gani hii serikali?

Na bado maana sasa hivi ni kipindi cha Uzalishaji viwandani, ikifika mwezi wanane sijuhi huwa wanafunga viwanda na bei huwa inapaaaaaaaaa!!!!
 
Na bado maana sasa hivi ni kipindi cha Uzalishaji viwandani, ikifika mwezi wanane sijuhi huwa wanafunga viwanda na bei huwa inapaaaaaaaaa!!!!

ni kweli huu ndio muda wa uzalishaji kwa sababu tpc ndio walikuwa wamefunga kwa ajili ya maintenance sasa sijui ndio wameanza yaani we acha mpaka 2015 tutakuwa tumeipata
 
sasa cc wengine tulikua tunajianda kuanza ujenzi mwishoni wa mwaka...tuwe optimistic bei zitapungua, au la??
 
Ndio maana rafiki yangu wa Kenya aliniambia nyumba au mahekalu tunayojenga Bongo kwa 250m TZS wao wanajengwa kwa m100m TZS maximum kweli Bongo haina mwenyewe kila kitu full kuchakachuliwa...
 
Jamani kuna ujenzi nikuwa nafanya nimezoea kununua cement mfuko mmoja 13500 na mara ya mwisho nimenunua juzi leo nimeambiwa hapo hapo kwenye ilo duka 14500 nikasema shida nini jamani mbona ongezeko kubwa,akajbu ndio gharama za kiwanda zimepanda kisa mgao,jamani tuna serikali au hatuna?haya madhara ya propaganda zao wanayaona au hawaoni kwa kweli imeniuma kila kitu juu sa hivi,tunafaidika nini na hii serikali iliyopo madarakani sukari nanunua 2000 wakati serikali ilisema 1700 kisa viwandani,jamani tunaichukulia hatua gani hii serikali?

Hii ndiyo ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya pamoja na Maisha bora kwa Watanzania kama alivyoahidi Kikwete.
 
Mwenye kufahamu bei ya cement kwa jumla tafadhali weka ili nitue profit margin ni kiasi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom