Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 4,838
- 8,674
Maria Carey " Always be my baby" , Toni Braxton " Unbreak My Heart" ,Brandy" I Wanna Be Down" , Celion Dion " My Heart Will Go On"
He wasn't man Enough me.Hii nayo ilinikoshaLet it flow ngoma kali ya Toni Braxton ninayoikubali
Nalog off
Whitney atabaki kuwa bora kwa wakati wote,kuanzia sauti yake, tungo na Nilikuwa napenda sana appearance yake awapo kwenye jukwaa.Whitney Houston-
"I will always love you". "
I wanna dance with somebody".
" Where do broken hearts go"
" I have nothing"
ulikuwa unasikiliza zilizopendwa ngoma za zamani saana za 80s - mid 90s na chahe saana za za 2000'sCeline Dion habari nyingine, geto nilikuwa na bonge LA radio na CD zangu za ngoma kalikali demi akija kukutembelea unamuwekea hizo ngoma anasikiliza mpk analegea hutumi nguvu kushawishi.. Hiyo ulikuwa mwanzoni mwa miaka ya 2000
She was powerful and captivating.Whitney atabaki kuwa bora kwa wakati wote,kuanzia sauti yake, tungo na Nilikuwa napenda sana appearance yake awapo kwenye jukwaa.
Tumefaidi sana enzi zetuYeah Nami pia naielewa sana, hawa watu walikuwa watoa hit after hit na walichuana sana
Basi wewe ni Kinda sana badoNilimfahamu kwa ngoma ya "Family Affair", "Real Love", "Not Gon' Cry" na "Be Without You". , nyingine hazikuwahi kuniibia ATTENTION yangu
Mjomba unajiita mhenga kwa ngona za kina Jeniffer Lopez? So sad....Hawa watu walitingisha sana enzi zao.
Kati ya hawa mastar waliochuana sana enzi zao, wewe unamkubali nani zaidi weka vigezo
1. Number of awards Won, eg Oscra, BET, Grammy Etc
2. Ngoma zilizoshika namba 1 Billboard
3. Mauzo ya Albamu
4. Number ya Viewers ya nyimbo zake on Youtube
5, Na vigezo vingine ila achana na utajiri wake
Taja ngoma au album unayoikubali na utoe vigezo vya kuichangua hiyo ngoma au album. Nimetaja hawa wakongwe kwa sababu enzI zao hatukuwa na wakina Destiny's Child and the like. Walikuwepo kama wakina Gloria Estafany, Sade, Lauryn Hill na wengine wengi ila twende na hawa kwanza.
Wale wahenga karibu, nyie vizazi vya 97+ tupisheni kidogo.
Umewahi kumsikia K.Cole akiimba live, hahahaa mule hamna kitu mzee too much electronic backup kama kina t-pain na taio cruiseUtamu wa mziki upo kwenye sikio la msikilizaji.
Kwa upande wangu Whitney Houston na Keysha Cole ndio nawakubali miaka yote.
Yupo poa sana na ana sauti ya kumtoa Alvin ChumbaniMimi mpaka leo namkubali Celin Dion.
Nakumbuka mwaka 2003 nikiwa form 1 kuna mtoto wa mchungaji moja sasa ni Doctor hospitali fulani mwanza aliniwekea nyimbo za Celin Dion aiseee toka siku hiyo mpaka leo nina nyimbo nyingi za Celin. Huyu dada namkubali adi kufa.
Umenifanya nisikilize huu hapa.; I love you by Celin naamini asubuhi yangu itakuwa pouwa kabisa.