Hajazeeka ila kakomaa tuuHuyu mama amezeeka haraka sana ukimchukua yeye na Shania Twain (56years) bado Shania anaonekana msichana pia hata ukiwaangalia JL, na mariah carey ambao kawazidi mwaka mmoja bado wabichi kabisa ila happy birthday kwake nadhani kazeeshwa na mumewe
Wenda sio bure. Hata jackson aliteseka sanaaaaIla wanasema kapigwa ugonjwa na wale wavaa suti wa akina Kanumba
Inasemekana ana ugonjwa uliomfanya awe hivyoHuyu mama amezeeka haraka sana ukimchukua yeye na Shania Twain (56years) bado Shania anaonekana msichana pia hata ukiwaangalia JL, na mariah carey ambao kawazidi mwaka mmoja bado wabichi kabisa ila happy birthday kwake nadhani kazeeshwa na mumewe
Naona hafanyi plastic surgery kama mastaa wenzake wa umri wake.Huyu mama amezeeka haraka sana ukimchukua yeye na Shania Twain (56years) bado Shania anaonekana msichana pia hata ukiwaangalia JL, na mariah carey ambao kawazidi mwaka mmoja bado wabichi kabisa ila happy birthday kwake nadhani kazeeshwa na mumewe