CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Mpira umemalizika Zanzibar ocean view 3 Enticelles ya Rwanda 2. Mchezo unaofuata simba na vital'o.
heshima yako Katavi.....thanks kwa updates na hongera kwa hawa vijana wa zanzibar
kila la kheri mnyama naona mechi inakaribia kuanza
 
Mpira umemalizika Zanzibar ocean view 3 Enticelles ya Rwanda 2. Mchezo unaofuata simba na vital'o.
Endelea kutujuza mkuu..je na mechi inayo fata itaonyeshwa na startv maana nina hamu kuwaona wafatao....Haruna Moshi, Athumani Idd, Mafisango, Machaku,Rajab isiaka,Walyalu Derrick wakiwa wamevaa uzi wa wekundu wa msimbazi...
 
Mkuu usitumie umri kujustify hoja yako, Zidane alikuwa kiungo bora kabisa mashindano ya kombe la dunia 2006 wakati alikuwa na umri mkubwa.

Samahani kumbuka Zidane ni next level usifananishe kabisa.Mazingira yanayomzunguka Zidane tofauti na mazingira ya wachezaji wetu we angalia eti unamuacha mchezaji kama Gumbo unasajili Chuji au Boban wachezaji ambao msimu ulioisha hawajacheza soka lolote la mashindano unategemea nn?Sana sana kwenye nafasi ambayo ni roho ya timu kiungo.
 
Kukata rufaa na kufungwa magoli 3 ndani ya dakika 3! LOL!

Teh teh ukimwambia hawana jipya kwenye usajili wao hataki kufungwa magoli m3 dk 3 kunatokana na kutokua na wachezaji wanaoweza kuhimili mpira kwa dk 90 aibu tupu timu bora duniani
 
Samahani kumbuka Zidane ni next level usifananishe kabisa.Mazingira yanayomzunguka Zidane tofauti na mazingira ya wachezaji wetu we angalia eti unamuacha mchezaji kama Gumbo unasajili Chuji au Boban wachezaji ambao msimu ulioisha hawajacheza soka lolote la mashindano unategemea nn?Sana sana kwenye nafasi ambayo ni roho ya timu kiungo.
Mkuu mie nimejibu kulingana na ulichokisema, Gumbo tayari alikwishaonyesha mahaba na timu nyingine kwa hiyo tusingeweza kumng'ang'ania, mie niko uwanjani Haruna bado ni mzuri, Chuji yuko benchi.
 
Simba wamekosa goli hapa, all in all mpira bado mgumu kwa pande zote!
 
Mkuu mie nimejibu kulingana na ulichokisema, Gumbo tayari alikwishaonyesha mahaba na timu nyingine kwa hiyo tusingeweza kumng'ang'ania, mie niko uwanjani Haruna bado ni mzuri, Chuji yuko benchi.

Naamini ww ni mshabiki wa soccer na unaijua vzr soka tukiacha ushabiki vp soka likoje hapo uwanjani na kama ikiwezekana tupe line up
 
Naamini ww ni mshabiki wa soccer na unaijua vzr soka tukiacha ushabiki vp soka likoje hapo uwanjani na kama ikiwezekana tupe line up
Timu zote zinashambulishaana kwa zamu, Mgosi kakosa magoli kadhaa ya wazi, jamaa nao wanashambulia Kaseja kasave kama mara mbili, Line-up ya Simba:Juma Kaseja, Said Nassoro, Amir Maftah, Juma Nyoso, Walaah Derick, Jerry Santo, Salum Machaku, Mohamed Banka, Musa Mgosi, Haruna Moshi na Ulimboka Mwakingwe: Line-up ya Vital O nitakudanganya.
 
Back
Top Bottom