Coza Mhando
Senior Member
- Dec 14, 2010
- 194
- 7
Ni mtazamo tu,
mi ni 1 wa wale tulioona lile kongamano la kuhusu katiba yetu mpya.Nimesikia michango mingi tu ya wanazuoni,wanasiasa na wananchi wa kawaida.
Nilichokigundua wanasiasa wanadhan ishu ya mchakato wa katiba ni mtaji wao tosha wa kisiasa!,
Nimeifuatilia ishu ya Arusha inavyochukuliwa kisiasa.
Ndugu zangu wana CDM tuwe waangalifu,tusikurupuke,tusikubali kutumiwa na kuwanufaisha wachache na mabwana zao waliowatuma.
Nasikitika kanisa nalo limeingia kichwakichwa.
Huyu mwingereza kazidiwa kete na mwamerika sasa alikuwa anaitafuta chance ameipata,
Ipo siku mtakuja kuikumbuka hii thread nyie "pasua kichwa" wanaCDM,
ni katiba inanilinda hapa kutoa mawazo yangu,
nawe endelea kutumia fulsa hii ya katiba kuleta critics zako!,
mi ni 1 wa wale tulioona lile kongamano la kuhusu katiba yetu mpya.Nimesikia michango mingi tu ya wanazuoni,wanasiasa na wananchi wa kawaida.
Nilichokigundua wanasiasa wanadhan ishu ya mchakato wa katiba ni mtaji wao tosha wa kisiasa!,
Nimeifuatilia ishu ya Arusha inavyochukuliwa kisiasa.
Ndugu zangu wana CDM tuwe waangalifu,tusikurupuke,tusikubali kutumiwa na kuwanufaisha wachache na mabwana zao waliowatuma.
Nasikitika kanisa nalo limeingia kichwakichwa.
Huyu mwingereza kazidiwa kete na mwamerika sasa alikuwa anaitafuta chance ameipata,
Ipo siku mtakuja kuikumbuka hii thread nyie "pasua kichwa" wanaCDM,
ni katiba inanilinda hapa kutoa mawazo yangu,
nawe endelea kutumia fulsa hii ya katiba kuleta critics zako!,