Cdm mnangoja nini?

Kadogoo

JF-Expert Member
Feb 26, 2007
2,073
341
Kauli ya wapenzi na wakereketwa wa CDM kuwa Wao tu ndio wapinzani hai TZ, haiwezi kuwa halali ikiwa watashindwa kumuenzi mwananchi huyu kwa kuonyesha nguvu yao ya umma!:

Ajimwagia petroli na kujipua
Send to a friend Friday, 04 February 2011 21:16 0diggsdigg

Festo Polea

MKAZI mmoja wa Mbezi Juu, jijini Dar es Salaam, wamejiua kwa kujiteketeza kwa moto, kwa maelezo kuwa amechoshwa na maisha magumu yanayoambatana na kukabiliwa na mzigo mkubwa wa madeni.

Marehemu huyo, Yusuph Msema (40), ameacha waraka ambao ndani yake, amesema madeni yaliyokuwa yakimkabili ni pamoja na aliyokuwa akidaiwa na rafiki zake na ya benki moja ambayo hata hiyo, hakuitaja.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Charles Kenyela, alisema tukio hilo lilitokea juzi usiku huko Mbezi Juu.

Kenyela alisema kabla ya kujichoma moto, Msema alijimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujipulia kwa kutumia kibiriti.

Kamanda huyo alisema marehemu aliacha ujumbe wa maandishi uliosomekana kama ifuatavyo.

"Nimejiua kutokana na hali ngumu ya maisha na madeni ninayodaiwa na David Ligomile anayenidai Sh 700,000 na deni kuongezeka hadi kufikia Sh 1,3000,000 na kanichukulia RB."


Sehemu nyingine ya ujumbe huo ilisema "pia nadaiwa kodi ya nyumba na mwisho wa mkataba ilikuwa 31/01/2011 nilitakiwa nihame."


Kwa mujibu wa Kenyela, ujumbe huo umedai kuwa sababu nyingine ya Msema kuchukua uamuzi huo, ni kitendo cha ndugu zake kushindwa kumsaidia kumaliza matatizo hayo wakati wana uwezo.

Kamanda huyo alisema maiti huyo amehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia cha Hospitali ya Mwananaymala, kwa uchunguzi zaidia

CDM mpo?????????
 
JK ndo aaambiwe kuchukua hatua hii ni kazi ya serikali mkuuu si ya chadema
 
Kweli maisha ni magumu. Lakini tusikubali kukata tamaa mpaka kiwango cha kujimaliza wenyewe.
 
Inasikitisha na Inaonesha ugumu wa maisha..., lakini ni nini connection ya Chadema Hapo..., nadhani hapa ungesema kwamba serikali na Chama tawala inabidi kiwajibike kwa kukosa dira na kupelekea maisha ya mtanzania kuwa magumu ningekuelewa..., Naomba ubadilisha heading ya Post yako ili tuichangie vizuri na tumtendee haki ndugu yetu Yusuph Msema RIP
 
Kwa utamaduni wa ki afrika michango ya rambi rambi inaweza ikazidi hayo madeni yote ya marehemu
 
kauli ya wapenzi na wakereketwa wa cdm kuwa wao tu ndio wapinzani hai tz, haiwezi kuwa halali ikiwa watashindwa kumuenzi mwananchi huyu kwa kuonyesha nguvu yao ya umma!:

Ajimwagia petroli na kujipua
send to a friend friday, 04 february 2011 21:16 0diggsdigg

festo polea

mkazi mmoja wa mbezi juu, jijini dar es salaam, wamejiua kwa kujiteketeza kwa moto, kwa maelezo kuwa amechoshwa na maisha magumu yanayoambatana na kukabiliwa na mzigo mkubwa wa madeni.

Marehemu huyo, yusuph msema (40), ameacha waraka ambao ndani yake, amesema madeni yaliyokuwa yakimkabili ni pamoja na aliyokuwa akidaiwa na rafiki zake na ya benki moja ambayo hata hiyo, hakuitaja.

Kamanda wa mkoa wa kipolisi wa kinondoni, charles kenyela, alisema tukio hilo lilitokea juzi usiku huko mbezi juu.

Kenyela alisema kabla ya kujichoma moto, msema alijimwagia mafuta ya petrol mwilini na kujipulia kwa kutumia kibiriti.

Kamanda huyo alisema marehemu aliacha ujumbe wa maandishi uliosomekana kama ifuatavyo.

"nimejiua kutokana na hali ngumu ya maisha na madeni ninayodaiwa na david ligomile anayenidai sh 700,000 na deni kuongezeka hadi kufikia sh 1,3000,000 na kanichukulia rb."


sehemu nyingine ya ujumbe huo ilisema "pia nadaiwa kodi ya nyumba na mwisho wa mkataba ilikuwa 31/01/2011 nilitakiwa nihame."


kwa mujibu wa kenyela, ujumbe huo umedai kuwa sababu nyingine ya msema kuchukua uamuzi huo, ni kitendo cha ndugu zake kushindwa kumsaidia kumaliza matatizo hayo wakati wana uwezo.

Kamanda huyo alisema maiti huyo amehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia cha hospitali ya mwananaymala, kwa uchunguzi zaidia

cdm mpo?????????

crap and crack typical of zubeda ms
 
Back
Top Bottom