CDM: Epitome of Hypocrisy!

CDM: Epitome of Hypocrisy!

Shinto

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2010
Posts
1,781
Reaction score
98
Nimefuatilia kwa makini mjadala ulikuwepo bungeni juu ya " Kambi rasmi ya upinzani" na mwenendo jumla wa maamuzi ya CDM, nimeridhika kuwa ama CDM wana-apply strategic stupidity au strategic hypocrisy!

CDM ilinufaika sana na kura za CCM kwenye bunge lililopita, kura ambazo ziliwaweza Slaa na Zitto kuwa wenyeviti wa kamati mbalimbali na hatimaye umaarufu walioupata.
Juzi nilimsikia Mbowe akisema kwa kuwa Hoja za HR na Kafulila zilitegemea kura za wabunge wa CCM kupita, basi vyama hivyo ni CCM-B! Huu ni unafiki na uzandiki mkubwa!

Pia walikuwa wanajenga hoja kuwa HR na Kafulila walikuwa wanataka uenyekiti wa kamati mbalimbali na kuwa washirika wao CCM wangewapa sapoti! Kinyume chake Zitto wa CDM alishinda kupitia kura za CCM haohao, hapa hawasemi kitu!

HR na Kafulila hawashinda kiti chochote, hii ina-invalidate allegation ya CDM juu ya vyama hivi kuwa ni washirika wa CCM!

Hivi viongozi wa CDM watawahadaa wa Tanzania mpaka lini? Hivi watanzania hasa wa JF lini watafunguka macho wakagundua unafikii huu?

This is my view, you are entitled to yours!
 
Nimefuatilia kwa makini mjadala ulikuwepo bungeni juu ya " Kambi rasmi ya upinzani" na mwenendo jumla wa maamuzi ya CDM, nimeridhika kuwa ama CDM wana-apply strategic stupidity au strategic hypocrisy!

CDM ilinufaika sana na kura za CCM kwenye bunge lililopita, kura ambazo ziliwaweza Slaa na Zitto kuwa wenyeviti wa kamati mbalimbali na hatimaye umaarufu walioupata.
Juzi nilimsikia Mbowe akisema kwa kuwa Hoja za HR na Kafulila zilitegemea kura za wabunge wa CCM kupita, basi vyama hivyo ni CCM-B! Huu ni unafiki na uzandiki mkubwa!

Pia walikuwa wanajenga hoja kuwa HR na Kafulila walikuwa wanataka uenyekiti wa kamati mbalimbali na kuwa washirika wao CCM wangewapa sapoti! Kinyume chake Zitto wa CDM alishinda kupitia kura za CCM haohao, hapa hawasemi kitu!

HR na Kafulila hawashinda kiti chochote, hii ina-invalidate allegation ya CDM juu ya vyama hivi kuwa ni washirika wa CCM!

Hivi viongozi wa CDM watawahadaa wa Tanzania mpaka lini? Hivi watanzania hasa wa JF lini watafunguka macho wakagundua unafikii huu?

This is my view, you are entitled to yours!

Hivi unajua baada ya vikao vya Bunge kuahirishwa wabunge wa CCM na wa CUF hukutana katika vikao vinavyotangazwa na spika? wanamajadiliano gani yawahusuyo wao tu???
 
Nimefuatilia kwa makini mjadala ulikuwepo bungeni juu ya " Kambi rasmi ya upinzani" na mwenendo jumla wa maamuzi ya CDM, nimeridhika kuwa ama CDM wana-apply strategic stupidity au strategic hypocrisy!

great thinker with cerebral stupidity
 
Hivi unajua baada ya vikao vya Bunge kuahirishwa wabunge wa CCM na wa CUF hukutana katika vikao vinavyotangazwa na spika? wanamajadiliano gani yawahusuyo wao tu???
Mi nazungumzia facts na sio maneno ya kijiweni kama haya!
 
Nimefuatilia kwa makini mjadala ulikuwepo bungeni juu ya " Kambi rasmi ya upinzani" na mwenendo jumla wa maamuzi ya CDM, nimeridhika kuwa ama CDM wana-apply strategic stupidity au strategic hypocrisy!

CDM ilinufaika sana na kura za CCM kwenye bunge lililopita, kura ambazo ziliwaweza Slaa na Zitto kuwa wenyeviti wa kamati mbalimbali na hatimaye umaarufu walioupata.
Juzi nilimsikia Mbowe akisema kwa kuwa Hoja za HR na Kafulila zilitegemea kura za wabunge wa CCM kupita, basi vyama hivyo ni CCM-B! Huu ni unafiki na uzandiki mkubwa!

Pia walikuwa wanajenga hoja kuwa HR na Kafulila walikuwa wanataka uenyekiti wa kamati mbalimbali na kuwa washirika wao CCM wangewapa sapoti! Kinyume chake Zitto wa CDM alishinda kupitia kura za CCM haohao, hapa hawasemi kitu!

HR na Kafulila hawashinda kiti chochote, hii ina-invalidate allegation ya CDM juu ya vyama hivi kuwa ni washirika wa CCM!

Hivi viongozi wa CDM watawahadaa wa Tanzania mpaka lini? Hivi watanzania hasa wa JF lini watafunguka macho wakagundua unafikii huu?

This is my view, you are entitled to yours!


Hiyo view yako yenyewe ni moja ya aina ya kuwa hadaa wa tanzania, acha wa tanzania waendelee kuhadaliwa, lakini sisi wa Tanganyika tuna imani na cdm hilo hutatubadilisha tena, it is a history, take it from me.
 
Nyini wadanganyika lol! Hamuwezi kuleta mabadiliko ya kweli mukiwa blind followers!
 
Mi nazungumzia facts na sio maneno ya kijiweni kama haya!

Facts gani, hujui kama mazingira ya mwaka 2005 na 2010 ni tofauti, huoni CUF na CCM wanavyoshirikiana? Sio tu kupewa kura na CCM ndio wawe CCM-B bali wameonyesha kuwa wanashirikiana na CCM kwa kiasi kikubwa ukianzia na kuunda serikali moja upande wa pili wa muungano lakini pia kukutana kwenye vikao vya kamati za chama na pia kuongea mambo yanayofanana, sasa kwa nini unabisha CUF sio CCM-B.

Acha unazi na ukubali ukweli kwamba CUF si wapinzani tena na tumebaki na chama kimoja tu cha upinzani, hata wewe unakijua, chama makini, chenye viongozi makini na chenye nia ya dhati ya kulikomboa taifa hili. NI CHADEMA.
 
Nimefuatilia kwa makini mjadala ulikuwepo bungeni juu ya " Kambi rasmi ya upinzani" na mwenendo jumla wa maamuzi ya CDM, nimeridhika kuwa ama CDM wana-apply strategic stupidity au strategic hypocrisy!

CDM ilinufaika sana na kura za CCM kwenye bunge lililopita, kura ambazo ziliwaweza Slaa na Zitto kuwa wenyeviti wa kamati mbalimbali na hatimaye umaarufu walioupata.
Juzi nilimsikia Mbowe akisema kwa kuwa Hoja za HR na Kafulila zilitegemea kura za wabunge wa CCM kupita, basi vyama hivyo ni CCM-B! Huu ni unafiki na uzandiki mkubwa!

Pia walikuwa wanajenga hoja kuwa HR na Kafulila walikuwa wanataka uenyekiti wa kamati mbalimbali na kuwa washirika wao CCM wangewapa sapoti! Kinyume chake Zitto wa CDM alishinda kupitia kura za CCM haohao, hapa hawasemi kitu!

HR na Kafulila hawashinda kiti chochote, hii ina-invalidate allegation ya CDM juu ya vyama hivi kuwa ni washirika wa CCM!

Hivi viongozi wa CDM watawahadaa wa Tanzania mpaka lini? Hivi watanzania hasa wa JF lini watafunguka macho wakagundua unafikii huu?

This is my view, you are entitled to yours!

unafiki tu huna jipya.
 
Jamani nauliza; Zitto alishindania kiti hicho na nani?
CCM hawawezi kumpa cheo HR kwa sasa maana aliwasumbua sana kwenye mgogoro wa Pemba 2001. CCM wana subri sana wanapomshughulikia mgonvi wao! they waited for eleven years to deal with him. Now he is going down!!. he was a problem. right now they are using him after knowing his weakness!!
Kuhusu Zitto; CCM wanaona Zitto si tishio tena. Kuna watu kadhaa wanaowaogopa akiwemo TL.
 
Mi nazungumzia facts na sio maneno ya kijiweni kama haya!

Pia maneno yako ni ya vilabuni;
Kama huoni kwamba CDM Iko vyema kwa kuona kilicho fanyika bungeni ni usanii na hawawezi kupambana na usanii huo kutokana na wingi wa wasanii.

Ili wasiwe sehemu ya usanii huo dawa ni kujitenga nao ili waidhinishe usanii wao.

Hivyo basi historia itasema na kitabu cha bunge (hansard) ni shahidi
CDM IDUMU.
 
Nyini wadanganyika lol! Hamuwezi kuleta mabadiliko ya kweli mukiwa blind followers!

it's like you dont understand the hypocrisy and stupidity of most CCM MPs just imagine how they used the four days to attack CDM thinking they are doing that to CDM MPs, though in reality its over 2m tanzanians who voted them in the house
 
Nyini wadanganyika lol! Hamuwezi kuleta mabadiliko ya kweli mukiwa blind followers!

it's like you dont understand the hypocrisy and stupidity of most CCM MPs just imagine how they used the four days to attack CDM thinking they are doing that to CDM MPs, though in reality its over 2m tanzanians who voted them in the house. Its like now we hate Kafulila in Mwanza.
 
Chadema na CCM wamefunga ndoa tumewaona jana bungeni, kuna wabunge wa Chadema wawili John Shibuda na Joseph Selasini, hawa jamaa ni Cracpot Politicians tumewasikia jana wanatoa michango yao wanasifia Serikali ya CCM wanapigiwa makofi na CCM. kweli hiyo ndio kambi imara ya upinzani.
 
Back
Top Bottom