mwehu ndama JF-Expert Member Joined Nov 12, 2019 Posts 2,177 Reaction score 8,304 Oct 31, 2025 #1 Taarifa zinasema , watu zaidi ya 700 wamekwisha kupoteza maisha..Jeshi Gani linaruhusu mipaka yake inavamiwa, Askari wa kigeni wanaingia na kuua raia wanaotekeleza wajibu wao wa kikatiba..! Kama ni hivi basi CDF hafai
Taarifa zinasema , watu zaidi ya 700 wamekwisha kupoteza maisha..Jeshi Gani linaruhusu mipaka yake inavamiwa, Askari wa kigeni wanaingia na kuua raia wanaotekeleza wajibu wao wa kikatiba..! Kama ni hivi basi CDF hafai
Jumlisha JF-Expert Member Joined Jul 10, 2022 Posts 2,137 Reaction score 4,273 Nov 3, 2025 #2 Nimetokea kumchukua sana huyu Mzee aiseee
A Aleyn JF-Expert Member Joined Nov 12, 2011 Posts 23,865 Reaction score 42,092 Nov 3, 2025 #3 Sijui watu wanamsifia nini huyu jamaa.
Killing machine JF-Expert Member Joined Jul 24, 2022 Posts 2,396 Reaction score 3,436 Nov 3, 2025 #4 Kiukweli mlamba asari katuangusha sana
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,907 Reaction score 193,930 Nov 4, 2025 #5 Muda huongea... Cc: Mahondaw