je wanandoa (halali kufanya hilo tendo) wakicheki video za X pia 'wanabadilishwa'?Ni kweli hakuna tatizo kwa upande wa shetani maana hayo mapicha yana lengo la kuharibu ufahamu wa mwanadamu, lakini kwa upande wa Mungu lipo tatizo kubwa sana. Kuna msemo unasema Kwa kutazama tunabadilishwa. Kwa hiyo kama ni mtu wa Mungu, elewa kwamba ukitazama hayo mapicha ya ngono unabadilishwa kiroho.
Yesu alikuja ili tuwe na uzima, kisha tuwe nao tele.
mhh! unashukuru au unasikitika? .Ee Mwenyezi Mungu nakushukuru sana kwamba nimezeeka na haya yanakuja umri ukiwa umepita.
Jamaa kaletewa Laptop yakufanyia marekebisho na mpenzi wake anaetaraji kufunga nae ndoa nakuishi kama mke na mume.
Katika kuiwasha akagundua ndani ya cd drive kuna VCD ku play ni ya picha za ngono.
Katika kumhoji mpenzi akadai hapa town hiyo ni biashara huwa analetewa anazitoa copy kwaajili yakuuza yeye siyo mtizamaji wa picha hizo!
Great thinkers hili limekaaje?
mhh! unashukuru au unasikitika? .
Tatizo ni biashara haramu
hamna tatizo, mwenzio anasoma hapo mkiingia uwanjani ufaidi.
je wanandoa (halali kufanya hilo tendo) wakicheki video za X pia 'wanabadilishwa'?
staili moja kila wakati inaboa.Nimeshasema, na ninarudia kusema, hakuna tatizo kwa shetani lakini kwa Mungu kuna tatizo. Hebu nikuulize, mwenyezi Mungu alipomuumba Adamu na kisha Hawa, je aliwaambia watazame mapicha ya ngono ili wafaidi tendo takatifu la ndoa? Je huoni kuwa mmoja kati ya wanandoa kama wanashiriki tendo kwa kupitia kuangalia picha za X anaweza asiridhishwe na perfomance ya mwenzake kulingana na alivyojifunza katika hizo picha na kupelekea kutafuta mtu wa kuzini naye?
Unigeuze macho yangu Ee Bwana nisitazame uovu.
Tatizo lipo!!, Mtu unayetarajia kumuoa hata hujui anafanya biashara gani!!.