CCTV (Security cameras)

CCTV (Security cameras)

Cool buddy .....will check on you in the near future.
 
Ingekuwa bora ukaweka vitu wazi hapa sote tukasoma na kuelemika. Mambo ya simu yatafuatwa kwa negotiations na installations. Lakini tupo wengi tunahitaji kufaidika kwa maelezo yako na bei.
Hii itapunguza hata kuulizwa maswali ya kujirudiarudia.
 
Kuna mahitaji makubwa ya CCTV katika majengo ya biashara na majumbani. Hapa apatikane mtu ambaye yuko serious afanye biashara. Watu wanataka bei ili wajipime kama wanamudu kutumia teknolojia hii. Sasa watu wanafanya biashara kwa siri utafikiri wanatongoza mwanamke. Kama bei zako ni halali, hutasita kuweka bei zako hapa. Naona ni yaleyale ya wachora ramani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom