Taarifa zilidai kuwa kuna mtu alionekana akirusha kitu kinachodaiwa bomu kwenye eneo la jukwaa karibu na gari la matangazo la chama hicho, lakini alipokuwa akifuatiliwa baada ya kutokea mlipuko huo, polisi nao walikuwa wameanza kudhibiti watu kwa kulipua mabomu ya kutoa machozi na kupiga risasi za moto hali iliyozidisha taharuki.
tutaogopa kujikusanya kwenye mikusanyiko, nauamini usalama wa cdm utafanya kazi kuweza kutupa ukweli, maana kitendo cha polisi kuanza kupiga risasi na mabomu kina walakini.
(1) Mimi kama mwanachama wa Chadema na nikiwa mtaalamu wa SECURITY SYSTEMS ZOTE-INTRUDER ALARMS, CCTV, FIRE ALARMS, ACCESS CONTROLS AND ALL SORTS OF LOGICS, niko tayari kusaidia chama ktk hili na from tommorrow i'll consult officials for the matter. (2) Ninaamini polisi Arusha walikuwa aware na jambo lile. Haiwezekani bomu lilipuke halafu polisi waanze kupiga mabomu ya machozi kudhibiti watu waliotaharuki, haiwezekaniii!!. Ule mkutano ulikuwa mkubwa na polisi lazima walikuwa wengi, kwa nini badala ya kutoa msaada mao wapige mabomu ya machozi? Anyway, too many queries..... .........!
(1) Mimi kama mwanachama wa Chadema na nikiwa mtaalamu wa SECURITY SYSTEMS ZOTE-INTRUDER ALARMS, CCTV, FIRE ALARMS, ACCESS CONTROLS AND ALL SORTS OF LOGICS, niko tayari kusaidia chama ktk hili na from tommorrow i'll consult officials for the matter. (2) Ninaamini polisi Arusha walikuwa aware na jambo lile. Haiwezekani bomu lilipuke halafu polisi waanze kupiga mabomu ya machozi kudhibiti watu waliotaharuki, haiwezekaniii!!. Ule mkutano ulikuwa mkubwa na polisi lazima walikuwa wengi, kwa nini badala ya kutoa msaada mao wapige mabomu ya machozi? Anyway, too many queries..... .........!
(1) Mimi kama mwanachama wa Chadema na nikiwa mtaalamu wa SECURITY SYSTEMS ZOTE-INTRUDER ALARMS, CCTV, FIRE ALARMS, ACCESS CONTROLS AND ALL SORTS OF LOGICS, niko tayari kusaidia chama ktk hili na from tommorrow i'll consult officials for the matter. (2) Ninaamini polisi Arusha walikuwa aware na jambo lile. Haiwezekani bomu lilipuke halafu polisi waanze kupiga mabomu ya machozi kudhibiti watu waliotaharuki, haiwezekaniii!!. Ule mkutano ulikuwa mkubwa na polisi lazima walikuwa wengi, kwa nini badala ya kutoa msaada mao wapige mabomu ya machozi? Anyway, too many queries..... .........!