Umuhimu wa kufunga CCTV camera nyumbani, ofisini

Natron Ltd

Member
Feb 11, 2016
56
18
b584623d118a99961fbcddf3393b0417.jpg

Habari wanaJF! Napenda kuwapa pole kwa majukumu ya hapa na pale, nmeamua kuja na Uzi huu kuelezea zaid umuhimu wa kufunga CCTV cameras na network katika maofisi, Shule na majumbani.
CCTV CAMERA ni nini?
Hii ni kifupi cha neno CLOSED-CIRCUIT TELEVISION hizi ni kamera zinazotumika kwa ulinzi wa majumbani, ofisini, shuleni, kiwandani n.k.

Kwanini Tutumie CCTV camera?
Umuhimu wa kutumia hizi kamera ni kuwa huwa zinahifadhi matukio yaliyotokea nyuma kwa muda ambao isingekuwa rahisi mtu kuona kwa mfano ukiwa umefunga kwako na MTU akaja kuiba nyumbani kwako wakati haupo, ukiwa na hizi kamera utakachokifanya ni kwenda kwenye room ulioset TV zako na kuona matukio yote au kama unatumia wireless cameras unaweza kuona matukio popote pale ulipo ukiwa na smartphone yako au tablet.
Pia hizi utusaidia kuongeza kipato cha kampuni yako kwa mfano hii ikiwa imefungwa ofisini ni vigumu kwa wafanyakazi kukaa bila kifanya kazi wakiwa ofisni kwasababu watakuwa wanaogopa kuwa wanaonekana.Vilevile upunguza wizi kwenye viwanda, hotelini,labs, nyumbani, ofisini n.k.

Kutokana na umuhimu wa kuwa na ulinzi wa uhakika na wa kutosha katika makazi yako, kiwandani kwako, ofisini, shuleni, hotelini. Sisi kama Natron co. Ltd tunatoa punguzo ya ufungaji wa camera hizi kwa gharama nafuu zaidi. wasiliana nasi tunafunga kokote ndani ya Tanzania.
0656540271 au 0682220703
 
Vipi umeme ukikatika itakuwa na uwezo wa kufanya kazi mfano nimeifunga home na huu mgao wetu uliotamalaki na sina standby generator?
 
bei ya kufunga bro mpka tufanye site survey coz ndo tutajua kuwa inahitajika cable ukubwa gani
 
Bei gani mkuu, hebu tupe set nzima ya ufungaji ikoje {vifaa na zinakuwa camera ngapi}
mkuu inategemea na ukubwa wa eneo na client anataka kufunga camera ngap ndo maana kuhusu bei ni vizur kuongea private ili kujua unataka kufunga camera ngap na distance ya kila camera
 
ndo maana kuna private communication hivi kwa mfano MTU anaetaka kufunga 4 camera na anaetaka kufunga 20 camera kwa uelewa wa kawaida unadhani zitafanana?
Na kuhusu distance tunaangalia distance amabzo znaconnect camera Moja na nyingine. So nivizur kutafutana priveta kwa maelezo zaidi mkuu!
0656540271 or 0682220703
 
Unaogopa nini kutaja bei? Ngoja wenzako waje waseme bei halafu useme wanakuharibia biashara.
sifanyi kazi kwa kuangalia mwingine ametaja nini? This is a company na nitaendelea kushikilia misimamo ya company hivi nikikutajia bei alaf tunafika kwenye kufunga inahitajika vitu vingi si inakuwa hasara kwangu? Ndo maana kuna kitu kinaitwa SITE SURVEY, labda nikuulize ukiambiwa umjengee MTU nyumba unaweza ukamtajia bei pasipo kujua hali ya mazingira na ukubwa wa nyumba?
 
ndo maana kuna private communication hivi kwa mfano MTU anaetaka kufunga 4 camera na anaetaka kufunga 20 camera kwa uelewa wa kawaida unadhani zitafanana?
Na kuhusu distance tunaangalia distance amabzo znaconnect camera Moja na nyingine. So nivizur kutafutana priveta kwa maelezo zaidi mkuu!
0656540271 or 0682220703
Unapaswa kutoa maelezo kamili hapa, sio kila mtu ana access ya kuwasiliana na wewe pm, toa ufafanuzi ili watu wajipime kama wataweza kumudu gharama zake au la!
 
Toa bei acha kuzunguka
ndo maana kuna private communication hivi kwa mfano MTU anaetaka kufunga 4 camera na anaetaka kufunga 20 camera kwa uelewa wa kawaida unadhani zitafanana?
Na kuhusu distance tunaangalia distance amabzo znaconnect camera Moja na nyingine. So nivizur kutafutana priveta kwa maelezo zaidi mkuu!
0656540271 or 0682220703
 
ndo maana kuna private communication hivi kwa mfano MTU anaetaka kufunga 4 camera na anaetaka kufunga 20 camera kwa uelewa wa kawaida unadhani zitafanana?
Na kuhusu distance tunaangalia distance amabzo znaconnect camera Moja na nyingine. So nivizur kutafutana priveta kwa maelezo zaidi mkuu!
0656540271 or 0682220703
Kwa mfano ungeweza kutoa makisio kuwa kwa kufunga camera 6 eneo la ukubwa kadhaa kwa mtu alieko dodoma gharama zake ni Tsh. 00000 hiii ingetoa mwongozo wa mtu kujima uweza wake
 
sifanyi kazi kwa kuangalia mwingine ametaja nini? This is a company na nitaendelea kushikilia misimamo ya company hivi nikikutajia bei alaf tunafika kwenye kufunga inahitajika vitu vingi si inakuwa hasara kwangu? Ndo maana kuna kitu kinaitwa SITE SURVEY, labda nikuulize ukiambiwa umjengee MTU nyumba unaweza ukamtajia bei pasipo kujua hali ya mazingira na ukubwa wa nyumba?
Mimi nataka uniambie gharama ya CCTV camera moja na vikorombwezo vinavyohitajika kukamilisha kazi hadi kutazama matukio, gharama za ufungaji weka kando.
 
OK inahitajika Monitor, DVR or, NVR, camera, Bloc connector, cables, Hard Disk, UPS, PSU,
Hapo mkuu kazi inakuwa imekamilika zingine ni minor sana
 
ndo maana kuna private communication hivi kwa mfano MTU anaetaka kufunga 4 camera na anaetaka kufunga 20 camera kwa uelewa wa kawaida unadhani zitafanana?
Na kuhusu distance tunaangalia distance amabzo znaconnect camera Moja na nyingine. So nivizur kutafutana priveta kwa maelezo zaidi mkuu!
0656540271 or 0682220703
Ungetoa mfano, let say nna m200 nataka camera 8,price yake ikoje atleast mtu tunaweza kujiongeza kwa ku prorate
 
Ungetoa mfano, let say nna m200 nataka camera 8,price yake ikoje atleast mtu tunaweza kujiongeza kwa ku prorate
mkuu sio kama siwezi Ila ukumbuke kuwa hizi camera haziwekwi katika line iliyoonyooka huwa zinafichwa sana ndo maana kujua mahali zitakapofungwa hizo camera inakuwa vizur kufanya approximation ya cost sawa na kujenga nyumba
 
Mtoa mada haujajipanga ww na wala haupo siriaz na biashara yako acha kuzunguka to a bei hivyo vifaa mie havinihusu kuna unaweza ukatoa minimum kwa 4 kamara na maximum vile vile lakini naona unaruka ruka tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom