CCM’s svengali hold

Namsahauje! Sema Wewe unaye abudu falsafa zake za kishetani, utaishi na maumivu siku zote, hasa watu watakapo enda kinyume naye, kama Mazaa anavyo fanya sasa!
Hakuna anayeumia na chochote.

Kama wewe Magufuli alikuumiza, basi usidhani kila mtu yuko na maumivu.

Unachofanya hapa ni ku project maumivu yako tu.

Pole.
 
Hakuna anayeumia na chochote.

Kama wewe Magufuli alikuumiza, basi usidhani kila mtu yuko na maumivu.

Unachofanya hapa ni ku project maumivu yako tu.

Pole.
Maumivu ya sukumagang yanasomeka kirahisi tu! Mtu alishakufa na mabaki mabaki ya uharibifu wake yanashughulikiwa moja baada ya jingine, nawezaje kukaa na maumivu! Nasherekea tu, hata watu wenye roho mbaya za kishetani kama Wewe mnavyopata tabu, ni shangwe tu!
 
Unaonekana ulishakufa siku nyingi kabla hata ya Magufuli, umebaki mwili tu. Pole sana.
 
Viongozi wapo tena wazuri tu lakini wanaoongozwa ndio zero brain, kidole kimoja hakivunji chawa !!
 
Watanzania wote mnajua kila kitu
 
Wamesahau Mbowe mwenyewe alisema Magufuli pamoja na udikteta wake wote hakuwahi kuwapa case ya ugaidi. Samia amewa-outsmart.
Propoganda nyepesi sana hizi!!!... Kwahiyo hamkutaka jamaa aende Ikulu Usiku?!!.. That time in history who has ever done it?!!..
 
Imekutouch 🤣🤣
Amesema nilishakufa, lakini I am alive and kicking, sasa hapo inanitouch kiaje?! Wewe ukiambiwa umekufa itakutouch?! Mimi nimempongeza jamaa kwa sababu, pamoja na kwamba point yake ni ipp, (international pumba point) amepata like yako!
 
Amesema nilishakufa, lakini I am alive and kicking, sasa hapo inanitouch kiaje?! Wewe ukiambiwa umekufa itakutouch?! Mimi nimempongeza jamaa kwa sababu, pamoja na kwamba point yake ni ipp, (international pumba point) amepata like yako!
Maelezo meeeeengi!

Lakini imekutouch 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…