Zungu la Unga
Member
- Nov 26, 2008
- 40
- 0
Hivi huyo Mbowe mwenyewe ana elimu gani vile?
Labda Mbowe alichanganya majina. Hivi Mzee Karume (RIP) alikuwa wa darasa la ngapi? Mbona naye alikuwa kiongozi mzuri tu aliyetuletea Muungano na kuwaletea wananchi wa Zanzibar maendeleo yaliyolenga watu kwa kuwajengea nyumba za kisasa? Wakati mwingine hicho kigezo cha elimu wala si hoja kwa sababu jitu linaweza kuwa na MaPhd kibao lakini lisiwe na busara wala uwezo wa kuongoza!
wazenj wengi wanaenda zaidi madrasa kuliko madarasani..........inawezekana linalozungumzwa hapa ni madrasa...........
Kwani nani kakwambia watu wa aina hiyi wanafikiriwa kuwa hawana elimu?(red)hapana si kweli, alisoma makerere tena huko alikutana na akina nyerere na aboud jumbe mwinyi
ni kukurupuka tu, nadhani kwa kuwa alimuona marehemu alikuwa ni mtu mnyofu, asiependa makuu na mcha mungu, wakadhani watu wa aina ile hawana elimu
sasa ndio tujue kuwa chadema hakuna kitu wanamlaumu kikwete kuwa ni mtu wa kudanganywa na kama hili amelisikia kwa watu kadanganywa sana tena sana
Mgombea urais chadema kasomea degree ya kanuni za ......?mtaalamu wa...?
Makama wa rais darasa la saba?.....? mtaalamu wa...?
Hii combination ni feki sijawahi kuona katika karne hii ya 21...?
Natamani kutapika....
Mgombea urais chadema kasomea degree ya kanuni za ......?mtaalamu wa...?
Makama wa rais darasa la saba?.....? mtaalamu wa...?
Hii combination ni feki sijawahi kuona katika karne hii ya 21...?
Natamani kutapika....
" Fear and Surrender are not the options for me"
Mbowe ni muhuni tu kama wahuni wenzake wa Makao Makuu ya Chadema. Chama cha kihuni lazima kiwe na kauli za kihuni
MataputapuMgombea urais chadema kasomea degree ya kanuni za ......?mtaalamu wa...?
Makama wa rais darasa la saba?.....? mtaalamu wa...?
Hii combination ni feki sijawahi kuona katika karne hii ya 21...?
Natamani kutapika....
Wahuni nyie wezi wakubwa siku zenu zinahesabika mtajua pa kwenda na mgojwa wenu we don't care.Mbowe ni muhuni tu kama wahuni wenzake wa Makao Makuu ya Chadema. Chama cha kihuni lazima kiwe na kauli za kihuni
Wewe Quinine unafikiri unaweza kumtibu mgonjwa "wetu" wewe? Sie tumeamua kusimamisha kampeni kwa muda (kwani hujasikia hilo?) tayari kumpeleka Mlingotini kupata tiba kidogo na akirudi huko atakuwa fiti kusimama jukwaani hata saa 5 mfululizo bila kuanguka huku akitoa ahadi za kufa mtu. Ntatoa chandarua 2 kila nyumba, msaada wa mahari kwa kila anayetaka kuoa, watoto wanaosoma shule za msingi pamoja na kuwapatia laptop kila mmoja pia serikali itawanunulua kandambili maana wengine wako std 6 na hawajawahi kuvaa hata hizo ndala. nk nk nk. Teh tehe tehe.Wahuni nyie wezi wakubwa siku zenu zinahesabika mtajua pa kwenda na mgonjwa wenu we don't care.
Hivi huyo Mbowe mwenyewe ana elimu gani vile?
Freeman Mbowe – failed in school, failed in business, failed in politics, and all this after being born in the royal family, the House of Mbowe..... In the current political state of play, he is irrelevant, and, as a HIPC (Heavily Indebted Party Chairman), he is finished as a politician.