CCM Zanzibar wajipanga kukwamisha Serikali tatu

JokaKuu,
Kwa kuliona hilo ndio Znz wamekuja na PLAN B kwa maana kuwe na muungano wa mkataba ambao kila nchi itakuwa huru kufanya mambo yake isipokuwa kwa mambo muhimu mtakayo kubaliana. Kumbuka hiyo ni PLAN B baada ya kufeli ile iliyoasisiwa Znz na Jumbe.

Sasa kama PLAN A imepita kutakuwa na umuhimu gani kufikiria PLAN B. Tusiwalaumu akina Ahmed Rajab na Jussa wapo sahihi hao. Kinachotakiwa na Znz ni kuwa na Znz Huru na Tanganyika Huru na kama kutakuwepo na muungano uwepo na kama usipokuwepo basi Ahlan wa sahalan.

Kuhusu usemi wako kuhusu Gharama za Muungano kwa mtazamo wako wa Serikali 3 ni gharama Kubwa zaidi kuliko bilateral agreements. labda utupe UFAFANUZI WAKO HAPO. ili nasi tukutoa khofu kwa huo mtazamo.

Je una cha zaidi hapa?



ok Barubaru, Plan imekubalika serikali tatu kuna tatizo zaidi ya hapo maana tulisha enda mbele, kwa hiyo Jussa, Maalim Seif nk na muazilishi wake Jumbe hawana tatizo sasa including U na majority ya Wazanzibar?
 
Tume ya Warioba ilienda kwa Maalim nyumbani kwake akiwa peke yake. Aliulizwa muungano wa mkataba uweje, hakuweza kutoa sababu au namna hata neno moja.
Ilikuwa ni aibu kubwa sana isiyo na kificho na kuanzia siku hiyo maalim akapunguza kuzungumzia mkataba. Kushindwa kusema mkataba uweje kukatufanya wengine tuhoji, hivi unatakiwa sifa gani uwe kiongozi znz kama vile waziri kiongozi au makamu wa Rais!!

Ahmed Rajab wa Raia Mwema tumemuuliza mara 100 aeleze muungano wa mkataba unakuwaje na una faida gani kwa washirika wake wote.
Masikini mwandishi huyu alichokisema ni kuwa mkataba utavutia nchi nyingine kujiunga.
Kwamba akili ya msomi wa kizanzibar imeishia kuvutia malawi ijiunge na muungano.
Hakuweza kutetea hata kwa mstari mmoja na hadi leo anaongelea mkataba kwa kificho.

Jusa kama Himid wamekuwa wanaimba wimbo wa mktaba kama ulivyo wewe na wznz wengine bila kujua nini maana yake.Ndiyo maana JokaKuu kasema hoja hiyo hata kama ingelikuwa na chembe za maana haikuwa na watu wa maana wa kuieleza.
Sisi Watanganyika tuna akili hatuimbi nyimbo kipuuzi tu, hatupelekwi kulia kushoto kizezeta.
Zinedine kasema wznz wakati wanamtukana Nyerere Watanganyika wanatafakari nini cha kufanya.Nadhani umeona moto wake.

Kwa taarifa rasimu haibadiliki kwahiyo serikali 3 haziepukiki.
Katika hizo Tanganyika haijapoteza hata kitu. Imeondoa 22 na kubaki na 5 baada ya muda wzn wataishi kwa kujificha ficha, mattter of time.

Nape hajaongelea muungano wa mkataba lazima ujue kujadili mada.
Kinachojadiliwa hapa ni kuwa mkataba kama ulivyopendekezwa na watu wa Oman haukuweza kutetewa, na akina Jusa, Ahmed na Maalim hawaelewi nini hasa wanataka.

Endeleeni kumtukana Nyerere, kuzunguzia nafasi za ubalozi, TV za rangi, umeme wa Meli.
Sisi tunajipanga, si umeona kimbembe cha rasimu? Kati ya 17 kipi kimemuathiri Mtanganyika.

FYI tunagawana mali na madeni baada ya hapo kila mznz anabeba begi anarejea unguja/Pemba. . Kinachofuata ni kurudi kwao kwa hiari au kuvuka bahari kwa baiskeli, that is coming soon.

Nguruvi3,

Tatizo lako unarukaruka tu hautulii katika point moja.

Labda tumalize moja kisha turudi kwenye lengine.

1. Mada hii inazungumzia CCM ZNZ wajipanga kukwamisha Serikali TATU. HAPA NAFIKIRI NIMEKUJIBU KUWA HUO NI MSIMAMO WA CCM YOTE SIO ZNZ NA MANENO HAYO NIMEKUWEKEA AMESEMA MSEMAJI WA CCM, NAPE NNAUYE. Je umekubali hilo twende mada nyengine?
i
Kuhusu hili la mkataba NIMELIWEKA WAZI KWAKO KUWA HIYO ILIKUWA NI PLAN B, baada ya kushindikana PLAN A (Serikali 3)ugumu uliojengwa na Nyerere kwa SMZ chini ya Jumbe na wale wabunge wa muungano G57 kushindwa.

Lakin kwa sasa limewekwa katika rasimu yenu ya katiba basi FORGET MKATABA SASA FIKIRIA SERIKALI TATU.


Pole sana




 
Tume ya Warioba ilienda kwa Maalim nyumbani kwake akiwa peke yake. Aliulizwa muungano wa mkataba uweje, hakuweza kutoa sababu au namna hata neno moja.
Ilikuwa ni aibu kubwa sana isiyo na kificho na kuanzia siku hiyo maalim akapunguza kuzungumzia mkataba. Kushindwa kusema mkataba uweje kukatufanya wengine tuhoji, hivi unatakiwa sifa gani uwe kiongozi znz kama vile waziri kiongozi au makamu wa Rais!!

Ahmed Rajab wa Raia Mwema tumemuuliza mara 100 aeleze muungano wa mkataba unakuwaje na una faida gani kwa washirika wake wote.
Masikini mwandishi huyu alichokisema ni kuwa mkataba utavutia nchi nyingine kujiunga.
Kwamba akili ya msomi wa kizanzibar imeishia kuvutia malawi ijiunge na muungano.
Hakuweza kutetea hata kwa mstari mmoja na hadi leo anaongelea mkataba kwa kificho.

Jusa kama Himid wamekuwa wanaimba wimbo wa mktaba kama ulivyo wewe na wznz wengine bila kujua nini maana yake.Ndiyo maana JokaKuu kasema hoja hiyo hata kama ingelikuwa na chembe za maana haikuwa na watu wa maana wa kuieleza.
Sisi Watanganyika tuna akili hatuimbi nyimbo kipuuzi tu, hatupelekwi kulia kushoto kizezeta.
Zinedine kasema wznz wakati wanamtukana Nyerere Watanganyika wanatafakari nini cha kufanya.Nadhani umeona moto wake.

Kwa taarifa rasimu haibadiliki kwahiyo serikali 3 haziepukiki.
Katika hizo Tanganyika haijapoteza hata kitu. Imeondoa 22 na kubaki na 5 baada ya muda wzn wataishi kwa kujificha ficha, mattter of time.

Nape hajaongelea muungano wa mkataba lazima ujue kujadili mada.
Kinachojadiliwa hapa ni kuwa mkataba kama ulivyopendekezwa na watu wa Oman haukuweza kutetewa, na akina Jusa, Ahmed na Maalim hawaelewi nini hasa wanataka.

Endeleeni kumtukana Nyerere, kuzunguzia nafasi za ubalozi, TV za rangi, umeme wa Meli.
Sisi tunajipanga, si umeona kimbembe cha rasimu? Kati ya 17 kipi kimemuathiri Mtanganyika.

FYI tunagawana mali na madeni baada ya hapo kila mznz anabeba begi anarejea unguja/Pemba. . Kinachofuata ni kurudi kwao kwa hiari au kuvuka bahari kwa baiskeli, that is coming soon.

Hapa naona mtu aliyekasirika anaandika bila kutumia ubongo sawasawa..

Ongea serikali tatu au mbili (kama ccm) anavyotaka..wewe msimamo wako upi na kwanini?

Mambo ya kutabiri waznz watakuwaje watavukaje bahari ni mjadala mwingine kabisa usitishe watu hata mt. Nyerere alitisha watu lakini yuko chini ya ardhi na znz iko palepale na madai yao yako pale pale hadi kieleweke
 
Joka Kuu, huu ni mtazamo wako wa kwamba hii ni plan B yamuungano wa mkataba, labda utoe zaidi evidence ya kwa nini ukafikia conclusionhio ambayo ni totally misleading.


Turudi nyuma zaidi wakati wa Mzee karume (Snr) ni yeyealiekuja na mtazamo wa serikali tatu alipopeleka hoja ya kutaka mabadilikokatika masuala ya muungano, pale alipozuia wanajeshi wa kizanzibari kupelekwamsumbiji kwa amri ya Mwalimu bila yeye kujuwa. Na ukitazama kwa undani japokuwahakusema kwa uwazi mfumo wa serikali tatu lakini waliyoyataka kufanyiwamarekebisho yalianzimia zaidi mamlaka yenye kujitegema baina ya Tanganyika na Zanzibar.Mzee Jumbe kutokana na elimu aliyojaaliwa ndio akaja na evolution ya hoja zakina mzee karume kwa ufanisi zaidi na uwazi wa serikali tatu.


Tuje kwenye Muungano wa Mkataba, nani alienzisha hoja yamuungano wa mkataba? Si kina ramadhan haji wala mzee jumbe, wala si ASP (CCMasli) wala si CUF. Hakuna yeyote kati ya hao watakaochukuwa dhima yakujipachika uasili. Hoja kubwa ya Muungano wa mkataba ni kuondosha doubt zozotezitazoifanya Zanzibar kuwa mkoa au kijiji kwa tafsiri tata za katiba na tafsirizinazojigonga zenyewe kwa wenyewe. Ni kuweka wazi yapi ya muungano, kwa niagani na kwa tafsiri ya uwazi yenye uhakika wa mamlaka kamili kwa wadau bila yashaka ya tafsiri potofu. Ni evolution ya msimamo wa kwanza aliokuja nao mzeekarume na baraza lake la mawaziri, ukawa upgrade na Mzee Jumbe na ukarekebishwazaidi baada ya msuguano hasa kwa kauli ya Mhe pinda ya uhalali wa Zanzibar kuwanchi au mkoa.


Chanzo hasa kilikuja baada ya kauli ya Pinda hata hiiserikali tatu ikawa ni Plan B na plan A ni uhakika wa kurejesha mamlaka kamilikwa wadau. Na Warioba anakiri asilimia 60 ya wazanzibari ndicho walichokitaka(uhakika wa bila ya shaka ya sovereignity yao) lakini kama kawaida ni CCM namuungano wao unaowafaidisha wanaopinga na kung’ang’ania kisichotakiwa na waliowengi.


Kwa nini kama kweli ni wapenda muungano hawa sisimizi wa CCMwasikubali serikai moja itayoondosha kila kelele za kero za muungano na kung’ang’aniakisichokubalika na kilichokwisha fail kwa miaka 50? Hakuna nia yoyote yakuulinda muungano bila ya kurejea katika malalamiko makuu ya wadau wa muungano.Njia pekee ni ima serikali moja (wishful thinking) au mkataba kwatutayokubaliana, mengine ni sawa na foleni tu inayojipanga kwa kero nyenginengumu zaidi.

Binafsi naamini mfumo wa serikali tatu ni step kubwa yamafahamiano yatakayopelekea reform kubwa zaidi itayayotoa mamlaka makuu kwanchi husika na ushirikiano wa kindugu baina ya nchi zetu. Hii khofu ya wachacheya kuvunjika kwa muungano baada ya mabadiliko ya sasa itaondoshwa baada yakuona namna gani mfumo wa serikali tatu utapofanya kazi kwa ufanisi zaidi nakukubali kwamba muungano umedumu kwa sababu ya za kidugu na historia sio katibazinazopingana zenyewe kwa wenyewe. Scotland walipewa mfano wa hichi kilicholetwana Mhe Warioba, devolution ile iliwafanya kina Blair waone ndio suluhisho lamatatizo yote, tumeona wakati ule wa coalition ya labour na Libdem katikaHolyrood ilizima kwa muda hoja za independent Scotland. Kilichochimbuwarefendum ya in or out kwa scots ni ushindi wa SNP even kla njia ziliwekwawasiweze kupata majority. 1997 scotish devolution hakuna aliefikiri kwambawatafika walipo sasa, wengine hatuna haraka wala fujo, tunaamini katikamuungano wa kidemokrasia, heshima, usawa na haki, tunaamini katika mfumo wamuungano usiojijenga kikatiba bali ushirikiano wenye tija na maendeleo kwapande zote mbili.

Foum Jnr,

..aliyeleta hoja ya plan A na plan B pamoja na conclusions zake ni Barubaru.

..mimi hoja yangu imejikita ktk gharama za mfumo wa serikali 3 vs mkataba/bilateral agreements.

..we missed u in our discussions nikaona nikuibue toka ktk maficho yako.

NB:

..it will b very interesting to see what will be included ktk katiba ya Tanganyika.

..nina wasiwasi kwamba Raisi wa Tanganyika naye atataka awe na "k.m.k.m" ya Tanganyika.

cc Mchambuzi, Nguruvi3, gombesugu
 
Last edited by a moderator:
Barubaru,

..mfumo wa serikali 3 hautotoa uhuru kwa Tanganyika na Zanzibar.

..as long as TANZANIA ipo basi ujue kwamba Tanganyika na Zanzibar haziko huru, kwa maana nyingine nchi hizo siyo DOLA huru, hazina MAMLAKA KAMILI, na HAZITAMBULIKI KIMATAIFA.

..Serikali 3 zitatuletea gharama kubwa kulinganisha na bilateral agreements kwasababu: kwanza, kutakuwa na SERIKALI ya muungano, pili BUNGE la muungano, na tatu taasisi nyingine za muungano kulingana na makubaliano ya muungano. Vyombo vyote hivyo vinahitaji michango ya fedha, mali, na rasilimali watu, ya washirika wa muungano ktk kuviendesha.

..kwa upande wa bilateral agreements hakuna ulazima wa kuunda serikali ya washirika, au bunge, bali kila agreement itakuwa inashughulikiwa na wizara husika ya kila upande wa mkataba huo. kwa mfano: kukiwa na mkataba[bilateral agreement] wa ulinzi kati ya Tanganyika na Zanzibar basi mkataba huo utashughulikiwa na wizara za ulinzi za kila upande, na hakutakuwa na haja ya kuunda wizara ya ulinzi ya pamoja.


cc Zinedine, takashi, Nonda, Mchambuzi, Nguruvi3

JokaKuu,

Unaposema bilateral agreements maana yake MKATABA. Sasa kwa kuwa hilo halimo katika rasimu katiba, ni vizuri tujikite katika Serikali 3 tusonge mbele

 
Joka Kuu, huu ni mtazamo wako wa kwamba hii ni plan B yamuungano wa mkataba, labda utoe zaidi evidence ya kwa nini ukafikia conclusionhio ambayo ni totally misleading.


Turudi nyuma zaidi wakati wa Mzee karume (Snr) ni yeyealiekuja na mtazamo wa serikali tatu alipopeleka hoja ya kutaka mabadilikokatika masuala ya muungano, pale alipozuia wanajeshi wa kizanzibari kupelekwamsumbiji kwa amri ya Mwalimu bila yeye kujuwa. Na ukitazama kwa undani japokuwahakusema kwa uwazi mfumo wa serikali tatu lakini waliyoyataka kufanyiwamarekebisho yalianzimia zaidi mamlaka yenye kujitegema baina ya Tanganyika na Zanzibar.Mzee Jumbe kutokana na elimu aliyojaaliwa ndio akaja na evolution ya hoja zakina mzee karume kwa ufanisi zaidi na uwazi wa serikali tatu.


Tuje kwenye Muungano wa Mkataba, nani alienzisha hoja yamuungano wa mkataba? Si kina ramadhan haji wala mzee jumbe, wala si ASP (CCMasli) wala si CUF. Hakuna yeyote kati ya hao watakaochukuwa dhima yakujipachika uasili. Hoja kubwa ya Muungano wa mkataba ni kuondosha doubt zozotezitazoifanya Zanzibar kuwa mkoa au kijiji kwa tafsiri tata za katiba na tafsirizinazojigonga zenyewe kwa wenyewe. Ni kuweka wazi yapi ya muungano, kwa niagani na kwa tafsiri ya uwazi yenye uhakika wa mamlaka kamili kwa wadau bila yashaka ya tafsiri potofu. Ni evolution ya msimamo wa kwanza aliokuja nao mzeekarume na baraza lake la mawaziri, ukawa upgrade na Mzee Jumbe na ukarekebishwazaidi baada ya msuguano hasa kwa kauli ya Mhe pinda ya uhalali wa Zanzibar kuwanchi au mkoa.


Chanzo hasa kilikuja baada ya kauli ya Pinda hata hiiserikali tatu ikawa ni Plan B na plan A ni uhakika wa kurejesha mamlaka kamilikwa wadau. Na Warioba anakiri asilimia 60 ya wazanzibari ndicho walichokitaka(uhakika wa bila ya shaka ya sovereignity yao) lakini kama kawaida ni CCM namuungano wao unaowafaidisha wanaopinga na kung'ang'ania kisichotakiwa na waliowengi.


Kwa nini kama kweli ni wapenda muungano hawa sisimizi wa CCMwasikubali serikai moja itayoondosha kila kelele za kero za muungano na kung'ang'aniakisichokubalika na kilichokwisha fail kwa miaka 50? Hakuna nia yoyote yakuulinda muungano bila ya kurejea katika malalamiko makuu ya wadau wa muungano.Njia pekee ni ima serikali moja (wishful thinking) au mkataba kwatutayokubaliana, mengine ni sawa na foleni tu inayojipanga kwa kero nyenginengumu zaidi.

Binafsi naamini mfumo wa serikali tatu ni step kubwa yamafahamiano yatakayopelekea reform kubwa zaidi itayayotoa mamlaka makuu kwanchi husika na ushirikiano wa kindugu baina ya nchi zetu. Hii khofu ya wachacheya kuvunjika kwa muungano baada ya mabadiliko ya sasa itaondoshwa baada yakuona namna gani mfumo wa serikali tatu utapofanya kazi kwa ufanisi zaidi nakukubali kwamba muungano umedumu kwa sababu ya za kidugu na historia sio katibazinazopingana zenyewe kwa wenyewe. Scotland walipewa mfano wa hichi kilicholetwana Mhe Warioba, devolution ile iliwafanya kina Blair waone ndio suluhisho lamatatizo yote, tumeona wakati ule wa coalition ya labour na Libdem katikaHolyrood ilizima kwa muda hoja za independent Scotland. Kilichochimbuwarefendum ya in or out kwa scots ni ushindi wa SNP even kla njia ziliwekwawasiweze kupata majority. 1997 scotish devolution hakuna aliefikiri kwambawatafika walipo sasa, wengine hatuna haraka wala fujo, tunaamini katikamuungano wa kidemokrasia, heshima, usawa na haki, tunaamini katika mfumo wamuungano usiojijenga kikatiba bali ushirikiano wenye tija na maendeleo kwapande zote mbili.

Ahlan wa sahalan Foum,

Nilipo BLUE,
Plan A ilikuwa hii

Kwa wasiojua ngoja niwape kidogo namna Nyerere alivyoweza kutumia nguvu nyingi sana katika uhai wake hapa Duniyani kupinga kuundwa kwa Serikali ya Tanganyika na kuwa na SERIKALI 3 .Je alikuwa na agenda gani na Serikali ya Tanganyika?

Mdahalo wa kwanza juu ya mfumo na muundo wa Muungano ulianza kwa njia ya maoni juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano mwaka 1983/84. Hapo, kwa mara ya kwanza ilibainika kuwa viongozi wa juu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakiongozwa na Rais Aboud Jumbe, na wale wa Serikali ya Tanzania, wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mwalimu Julius Nyerere, walikuwa na mitazamo tofauti inayokinzana juu ya Muungano.

Jumbe na timu yake walitaka Muungano uwe na Serikali tatu kwa maana ya Serikali ya Tanganyika, Serikali ya Zanzibar (iliyopo sasa) na Serikali ya Muungano yenye kushughulikia mambo ya Muungano tu, ambayo yameainishwa katika Ibara ya 6(a) ya Katiba ya Muungano (Articles of Union) na kifungu cha 8 cha Sheria ya Muungano (Acts of Union) Namba 22 ya 1964, na hatimaye ibara ya 4 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.

Jumbe alikwenda mbali zaidi kwa kuandaa Hati ya Maombi ya kuhoji na kutaka ufafanuzi kwenye Mahakama Maalum ya Kikatiba juu ya muundo sahihi wa Muungano kwa kutumia ibara ya 125 ya Katiba.
Tofauti hizi kati yake na Mwalimu hazikwisha salama kwa Jumbe kuthubutu kukanyaga mahali "patakatifu" bila kuvua viatu. Jumbe alilazimishwa kuachia ngazi zote za uongozi wa nchi kuanzia Urais wa Zanzibar, Umakamu wa Rais wa Muungano, na nafasi zote za kichama Januari, 1984.

Naielewa vizuri hali ya mtafaruku iliyofuatia hatua hii na kule kutangazwa "kuchafuka" kwa hali ya kisiasa Visiwani, kwani nilikuwa mmoja wa Watanzania ulioishuhudia hali hiyo iliyokuwa imetengenezwa na JKN. Lakini pamoja na kurejea kwa hali ya kawaida, bado matatizo ya Muungano yaliendelea kutawala agenda za vikao vingi vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM.

Utata huu uliibuka tena kwa nguvu mpya zaidi wakati Wabunge 55 (maarufu kama G55) wa Bunge la Muungano, walipowasilisha bungeni mwaka 1993, hoja ya kutaka kuundwa/kurejeshwa kwa Serikali ya Tanganyika kwa kukasirishwa na hatua ya Zanzibar kujiunga na OIC kama nchi huru nje ya Muungano, Desemba 1, 1992.
Ukweli, Bunge lilikuwa limekwisha kupitisha kwa kauli moja, Azimio la kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika Agosti 24, 1993 kwa maana ya kuwa na Serikali ya Muungano inayoundwa na Serikali hai zenye Mamlaka huru, za Tanganyika na Zanzibar, kama vile tu alivyotaka Rais Jumbe mwaka 1983.
Hata hivyo, Azimio hilo lilipigwa rungu zito na Mwalimu Nyerere na likavunjika.. Na kama ilivyokuwa kwa Jumbe, hapa napo mambo hayakuisha salama; safari hii Waziri Mkuu wa wakati ule, John Malecela na Katibu Mkuu wa CCM, Horace Kolimba, walipoteza nyadhifa zao kwa sababu ya ama kunyamazia au kuunga mkono hoja / Azimio la G 55.

PLAN B IKAJA KAMA MKATABA KILA NCHI IWE NA MAMLAKA KAMILI ISIPOKUWA KWA YALE WATAKAYO KUBALIANA
 
JokaKuu,

Unaposema bilateral agreements maana yake MKATABA. Sasa kwa kuwa hilo halimo katika rasimu katiba, ni vizuri tujikite katika Serikali 3 tusonge mbele

Barubaru,

..maoni yangu ni kwamba serikali 3 zitatuletea wananchi wa pande zote gharama zisizo za lazima.

..kutokana na hoja hiyo nimependekeza kila upande uwe na serikali yake, halafu tuendeleze ushirikiano, undugu, na ujirani wetu, kupitia bilateral agreements.

..nadhani tatizo letu ni kwamba tumejifunga kimawazo kwamba ni lazima pawe na muungano. lets think outside the box na kuangalia njia nyingine za kuendeleza undugu na ushirikiano baina ya wananchi wa Tanganyika na Zanzibar.

cc Topical
 
Last edited by a moderator:
Barubaru,

..maoni yangu ni kwamba serikali 3 zitatuletea wananchi wa pande zote gharama zisizo za lazima.

..kutokana na hoja hiyo nimependekeza kila upande uwe na serikali yake, halafu tuendeleze ushirikiano, undugu, na ujirani wetu, kupitia bilateral agreements.

..nadhani tatizo letu ni kwamba tumejifunga kimawazo kwamba ni lazima pawe na muungano. lets think outside the box na kuangalia njia nyingine za kuendeleza undugu na ushirikiano baina ya wananchi wa Tanganyika na Zanzibar.

cc Topical

JokaKuu,

Kwa kuwa hilo halimo katika rasimu ya katiba, ni vizuri tujikite katika Serikali 3 tusonge mbele .kwani hatuwezi kubadili lolote katika rasimu hiyo kwa sasa.

Wengi wape kwani serikali 3 ni mapendekezo ya wengi.

Nakushauri tusipoteze muda mwingi kujadili kitu ambacho hakipo katika Rasimu hiyo na hatuna uwezo wa kubadili kwa sasa

 
Joka Kuu,
Ni vyema hasa kuona katiba ya Tanganyika itakayokuwa nanguvu sawa na ya Zanzibar. Izingatie hasa maoni ya watanganyika wenyewe bila yamashambulizi ya CCM Zanzibar waliozowea vya bure huku wengi wakiumia.Tungependa hasa sio KMKM tu lakini essence ya uinchi wa Tanganyika kubebwandani ya katiba yao kama ilivyo ya Zanzibar.


Hata masuala ya ardhi ikiwa katiba itapoga marafukuwazanzibari kumiliki ardhi pia ni haki ya watanganyika na tutaiunga mkono, hilihalina mjadala. Kwa sasa ni vigogo wa CCM waliojineemeshea ardhi bara hukuwazanzibari tuliobakia tukibeba lawama za kutobebeka even though kwa vitendovya wachache. Tunasisitiza pia katika uandikaji wa katiba ya Tanganyika, hawaCCM wasijitwishe madaraka ya kuwaamulia watanganyika milioni arobaini nakuhakikisha maoni ya wananchi yanalengwa sio kubebana na kuleta lawama nyenginempya zisizo na faida. Tunataka hizi kero na kelele za kubebwa na kuonewazimalizike once and for all.


Historia inaonyesha ni wazanzibari wanaopigania kuionaTanganyika ikija na ikiwa na nguvu, na ni wachache wenye uthubutu mkubwawaliozima na kuzuia kwa kila namna hata essence ya independent parliament pamojana nguvu zinazobebwa na maoni ya wabunge kwa vision walioiona ya utukufu katikamuungano. Cha kushangaza zaidi, juzi tu ni hawa hawa waliotoa maoni mbele yaMhe Warioba wakisema wanataka Rais mwenye mamlaka kamili na nguvu sawa na raiswa muungano. Utawezaje kuwa na hayo bila ya nchi yenye mamlaka kamili? Adui wamuungano ni CCM na genge lao.


Siamini kama muungano huu umebakia kwa sababu ya katiba,nilisharudia nyuma si katiba wala article of union iliothaminiwa kwa vile vyotehivi viwili vilishachezewa na kutolewa nguvu stahili zake. Kinachoulindamuungano ni uasili, historia na udugu uliopo baina ya jamii mbili. Naaminimfumo wa serikali 3 ni mwanzo tu huu wa evolution kubwa ya muunganoutakaothaminiwa na wadau wote. Ili hili lifanikiwe CCM wawaachie wananchi kutoamaoni yao kwa uhuru bila ya fujo na vitisho. Note to take katika statement yaMheshimiwa Warioba, wazanzibari 60% walitaka mfumo independent wa mkataba, 2012.Hii itabakia kuwa challenge kubwa ikiwa mfumo wa S3 hautawekwa katika misingiya haki, usawa na heshima baina ya pande mbili. Vile vile 1983 ni wazanzibari waliosuggestSerikali 3 wakasulubiwa, miaka 30 ijayo tutalizungumza hili la mfumo wa mkatabaikiwa muungano upo au haupo.

 
Joka Kuu,
Ni vyema hasa kuona katiba ya Tanganyika itakayokuwa nanguvu sawa na ya Zanzibar. Izingatie hasa maoni ya watanganyika wenyewe bila yamashambulizi ya CCM Zanzibar waliozowea vya bure huku wengi wakiumia.Tungependa hasa sio KMKM tu lakini essence ya uinchi wa Tanganyika kubebwandani ya katiba yao kama ilivyo ya Zanzibar.


Hata masuala ya ardhi ikiwa katiba itapoga marafukuwazanzibari kumiliki ardhi pia ni haki ya watanganyika na tutaiunga mkono, hilihalina mjadala. Kwa sasa ni vigogo wa CCM waliojineemeshea ardhi bara hukuwazanzibari tuliobakia tukibeba lawama za kutobebeka even though kwa vitendovya wachache. Tunasisitiza pia katika uandikaji wa katiba ya Tanganyika, hawaCCM wasijitwishe madaraka ya kuwaamulia watanganyika milioni arobaini nakuhakikisha maoni ya wananchi yanalengwa sio kubebana na kuleta lawama nyenginempya zisizo na faida. Tunataka hizi kero na kelele za kubebwa na kuonewazimalizike once and for all.


Historia inaonyesha ni wazanzibari wanaopigania kuionaTanganyika ikija na ikiwa na nguvu, na ni wachache wenye uthubutu mkubwawaliozima na kuzuia kwa kila namna hata essence ya independent parliament pamojana nguvu zinazobebwa na maoni ya wabunge kwa vision walioiona ya utukufu katikamuungano. Cha kushangaza zaidi, juzi tu ni hawa hawa waliotoa maoni mbele yaMhe Warioba wakisema wanataka Rais mwenye mamlaka kamili na nguvu sawa na raiswa muungano. Utawezaje kuwa na hayo bila ya nchi yenye mamlaka kamili? Adui wamuungano ni CCM na genge lao.


Siamini kama muungano huu umebakia kwa sababu ya katiba,nilisharudia nyuma si katiba wala article of union iliothaminiwa kwa vile vyotehivi viwili vilishachezewa na kutolewa nguvu stahili zake. Kinachoulindamuungano ni uasili, historia na udugu uliopo baina ya jamii mbili. Naaminimfumo wa serikali 3 ni mwanzo tu huu wa evolution kubwa ya muunganoutakaothaminiwa na wadau wote. Ili hili lifanikiwe CCM wawaachie wananchi kutoamaoni yao kwa uhuru bila ya fujo na vitisho.

Note to take katika statement yaMheshimiwa Warioba, wazanzibari 60% walitaka mfumo independent wa mkataba, 2012.Hii itabakia kuwa challenge kubwa ikiwa mfumo wa S3 hautawekwa katika misingiya haki, usawa na heshima baina ya pande mbili.

Vile vile 1983 ni wazanzibari waliosuggestSerikali 3 wakasulubiwa, miaka 30 ijayo tutalizungumza hili la mfumo wa mkatabaikiwa muungano upo au haupo.
Haki, usawa na kuheshimiana kutatoka wapi wakati wznz wenyewe wanasema ni nchi ndogo,ina watu wachache na uchumi mdogo?
Wao wameshatanguliza inferiority huoni hilo ni tatizo?

Lakini pia unapoongelea haki, usawa na kuheshimiana lazima uangalie ubao mzima kwa upana wake.Ninajua haki unayoongelea ni nyadhaifa, na usawa ni madaraka.

Kuheshimiana unakoongelea ni kule kusikilizwa kwa kila mmoja.
Nakubaliana nawe lakini haki haiishi hapo, haki ni pamoja na znz kutoka mbele na kusema ni mshirika wa muungano haitabebwa, italipa bili sawa, itachangia muungano sawa na itawajibika katika usawa kama mwingine.

Hapo si kuwa itakuwa imeleta usawa na haki bali itajijengea heshima.
Bila kuwajibika hakuna heshima hilo wafahamu.
Huwezi kuheshimiwa na mkeo au watoto kama huwajibiki katika familia.

Tunaposema wanabebwa si tusi ni ukweli, ili wajenge heshima lazima kwanza waache kuatanguliza fomu za jaira, madaraka na nafasi za ubalozi.
Lazima watangulize kitu mezani halafu tuheshimiane kwa usawa na haki.

Kuhusu mkataba, Tanganyika haina sababu ya kukaa na kuzungumza na ZNZ, isipokuwa znz inaweza kuomba ufadhili kwa jina la mkataba. Labda kama una hoja kwanini Tanganyika itake mkataba na znz naomba unifahamishe.
 
Back
Top Bottom