CCM yazindua Roboti kwenye Mkutano wake Dodoma

Anaitwa nani?
 
Wanasiasa bana, shida yetu Watanganyika siyo Roboti,,,
  • sambazeni maji mlioahidi kutoka Ziwa Nyanza,
  • sambazeni mashamba ya umwagiliaji,
  • tieni mkazo Kilimo cha Biashara kwa mazao kulingana na mazingira husika...
  • fufueni viwanda mlivyofilisi
 
hii nchi sina uhakika kama kuna chuo kikuu kinafundisha robotics. sasa huyu roboti anatofauti na yule wa zape?
 
Roboti gani limelegea hivyo...πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…