KASHISHI WATER
Member
- Mar 15, 2011
- 8
- 0
Katika haili isiyo ya kawaida katika semina ya watendaji ndani ya chama hicho wakati wa maswali katibu mmoja alisema vijana wasomi kutoka vyuo vikuu mbalimbali walioajiriwa na chama hicho wamekuwa wakiwatishia makatibu wao kutokana na elimu zao na hawakisaidii chama.
Katika majibu yake naibu katibu mkuu Mwigulu Nchemba akitoa takwimu ya makatibu wapya 26 walioajiriwa hivi karibuni kwamba kati ya hao wote mwenye digree ni mmoja tu na ukumbi mzima ukashangilia hata katibu wa mkoa huo comrade Ngubiagai aliponyoosha mkono apate nafasi ya kuchangia hakupewa nafasi mpaka kikao kinaisha.
Katika majumuisho ya katibu mkuu Kinana amesema wasomi hawafai kabisa. Cha kujiuliza ndugu Kinana baada ya kupata ukatibu mkuu leo amesahau umuhimu wa vijana wasomi ndani ya chama wakati alikuwa mlezi wa vyuo vikuu Dar.
Kweli CCM imefika mwisho.
Katika majibu yake naibu katibu mkuu Mwigulu Nchemba akitoa takwimu ya makatibu wapya 26 walioajiriwa hivi karibuni kwamba kati ya hao wote mwenye digree ni mmoja tu na ukumbi mzima ukashangilia hata katibu wa mkoa huo comrade Ngubiagai aliponyoosha mkono apate nafasi ya kuchangia hakupewa nafasi mpaka kikao kinaisha.
Katika majumuisho ya katibu mkuu Kinana amesema wasomi hawafai kabisa. Cha kujiuliza ndugu Kinana baada ya kupata ukatibu mkuu leo amesahau umuhimu wa vijana wasomi ndani ya chama wakati alikuwa mlezi wa vyuo vikuu Dar.
Kweli CCM imefika mwisho.