Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,306
- 271,599
Chama cha Mapinduzi (CCM) , kimetangaza kuunga Mkono Mazungumzo yanayoendelea kati ya Mwenyekiti wao na viongozi wa Chadema , yenye lengo la kuleta usawa wa KIDEMOKRASIA na HAKI , kwa MASLAHI MAPANA YA TAIFA.
Kauli hii nzuri imetangazwa hadharani na Shaka Hamdu Shaka , ambaye ni Katibu wa Uenezi na Itikadi wa Chama hicho , alipoongea na Waandishi wa Habari .
Kauli hii nzuri imetangazwa hadharani na Shaka Hamdu Shaka , ambaye ni Katibu wa Uenezi na Itikadi wa Chama hicho , alipoongea na Waandishi wa Habari .