Na ni nani huyu kinana kamwambia kero za walimu ni madeni! Walimu wanataka mishahara iongezwe kw 100%, posho za kufundishia na zile za mazingira magumu. Aache unafiki wake hapa...walimu washamjua hadui wao kuw ni ccmagamba na sirikali yake. 2takutana 2015....Liwalo na liwe!!