Mkuu usiwe mvivu kuleta habari. Mbona umeleta kipande tu, hata jina la mshindi hujaweka. Halafu imekuwaje kata ya wezi, vibaka, walevi wa gongo na wastaarabu wachache CCM ikashinda?
Kumbe huyu mtusi ni kabila la kimatonya hahahah duuh halafu kule kwao kumechoka ni noma watu wavivu kinoma hakuan maisha kabisa vijumba ndio hivyo duuh ukiambiwa huyu ti....go anajifanya ati ni kiboko yao wa matusi ama kweli si mlaumu kwani hata elimu yake ni ndogo sana kaishia la saba then ati kasoma kwa college ya Magamba kwa mwaka mmoja ni nomaaaa
Na Arumeru mash vilevile CCM wametetea kiti chao maandalizi ya sherehe yanafanyika A Town.Nassari amekubali kusaini matokeo big up dogo kwa kuonyesha ukomavu wa kisiasa licha ya kushawishiwa usisaini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.