sasa cjui mtafanyaje kampeni na wanainchi watawasusia mtatiaje aibu mnahaha na mfalme juha wenuKwa haya majembe Mbowe nimemuona genius kususia uchaguzi maana kulikuwa hamna namna ya kuchomoka hapa.
View attachment 651905
Mbowe mjanja sana yaani hata Lissu angesimama kwny jimbo moja hapo asingechomokaHakuna uchaguzi bali ni usanii tu hivyo endeleeni.
Kuna uchaguzi gani hapo wakati kuna mtu alishatoa onyo kuwa hatuwezi kukulipa mshahara,tukakupa na usafirii alafu umtangaze mpinzani mshindi?Yetu macho, ila ukawa watafanya makosa kama kweli hawatashiriki uchaguzi huu... Watafute njia mbadala ya kushinikiza marekebisho ya mfumo mzima wa uchaguzi, waitishe hata maandamano na kupeleka hoja/muswada binafsi bungeni, ila sio kususia uchaguzi... itawacost!
Yetu macho, ila ukawa watafanya makosa kama kweli hawatashiriki uchaguzi huu... Watafute njia mbadala ya kushinikiza marekebisho ya mfumo mzima wa uchaguzi, waitishe hata maandamano na kupeleka hoja/muswada binafsi bungeni, ila sio kususia uchaguzi... itawacost!
Una point ya msingi sana lakini katika muda uliosalia si rahisi kwa marekebisho yatakayohakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki. CCM wao watatangaza tu mtu wao hata hesabu zikiwa kinyume. Kwa hiyo hakuna maana wacha wajitekenye na kucheka wenyewe tutakutana 2020.Yetu macho, ila ukawa watafanya makosa kama kweli hawatashiriki uchaguzi huu... Watafute njia mbadala ya kushinikiza marekebisho ya mfumo mzima wa uchaguzi, waitishe hata maandamano na kupeleka hoja/muswada binafsi bungeni, ila sio kususia uchaguzi... itawacost!
Vp 2020 mtaleta mtu au mtasusia tena?Kuna uchaguzi gani hapo wakati kuna mtu alishatoa onyo kuwa hatuwezi kukulipa mshahara,tukakupa na usafirii alafu umtangaze mpinzani mshindi?