CCM yashinda Umeya Kigamboni

Pamoja na kupambana bado tu hujakumbukwa kwenye uteuzi?
 
Hamna anayehangaika na mafisadi chadema kwa sasa.

Hasa hiki kitendo Cha Mbowe kwenda ulaya kutoa hotuba za kuichafua nchi kimewaudhi sana watanzania.

2020 wajiandae kupungua bungeni.
 
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
 
Hivi wale walio wanyiwa utafiti na NMRI na kuthibitika kuwa wana virus vya ZIKA si wanaweza kupatikana ili kuondoa hii sintofahamu ya kutenguliwa kwa Dr.Mwele au ni ngumu kupatikana?
 
Sasa uchaguzi WA Meya wa jiji urudiwe ili halmashauri mpya zipate fursa ya kuchagua Meya!!
 
ila waandish wa habar kwel makanjanja,m2 anakunyima uhuru wa habar lkn bado unamwandikia matukio yake,kwa nn na we2 usimchunie il aone umuhm wake? anakuja m2 anasema atashirikiana na wanababar inaingia akilin kwel? waandish wa habar dawa ya moto n moto au njaa kal kitaa?
 
Wameshinda kwa kura au wamejipa ushindi fisiemu
 
Jambo moja tu huwa nawashanga CCM na Serikali /DED; pale ambapo wanajua watashinda, husikii wala kuona mizengwe kutoka CCM na Mkurugenzi wa Halmashauri. Kimbembe huwa pale ambapo hesabu zao zinagoma, yaani Mkurugenzi, CCM, na hata Polisi hutengeneza mazingira ya tension kama vile tuko Ethiopia au Eritrea! Mbona wapinzani wao wakijiona wachache kwa kura huwa hatushuhudii vurugu na mizengwe?

Vv
 
Wakati mwingine ficha ujinga wako mbele za wengine. Ccm walikuwa wajumbe 9 na ukawa 5 nipe kigezo cha ccm kushindwa au ni kwanini ukawa hawakushinda? Hesabu ndogo hizo zinakutesa na unakuja kifua mbele kujisifu na kusifia ujinga.
Kama Ukawa wangekuwa na wajumbe wengi kuliko CCM ungeshuhudia vurugu na mizengwe ya ajabu, wangejazwa Polisi na FFU kama vile kuna tukio la ujambazi.


Vv
 
Watu wanangalia chama badala ya uwezo.huyo diwani wa Ukawa ndio think tank ya halmashauri,kuanzia kwa mkurugenzi mpaka madiwani,halafu wamempiga chini
sure, hili ndo janga tulilonalo watanzania. ccm, chadema, cuf wote wanaangalia vyma bila kujali mtu. tusingekuwa tunajali vyama kusingekuwepo na figisu za kukodi wabunge wa viti maalum kuja kupiga kura
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…