Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 988
Nimeambiwa udiwani kata ya Lagangabilili-Bariadi CCM wameibuka kidedea dhidi ya UDP : Chadema hilo ni jimbo la kufuatilia maana John Cheyo kwishney kama upinzani mkiendelea kumwachia jimbo linarudi CCM 2015 mzee mapesa choka mbaya, magamc wamemmaliza amebaki kujikomba kwao