CCM yasalimu amri Zanzibar

CCM yasalimu amri Zanzibar

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,148
Reaction score
56,424
Habari,

Ninazoendelea kuvuja kutoka ndani ya kikao kilichoketi Jumatatu hii na kuhusisha marais wastaafu Mh.Mwinyi, Mh. A. Karume, rais wa Zanzibar Dr. Shein, Balozi Seif na Maalim Seif, zinasema chama cha Mapinduzi Zanzibar kimekubali kuachia madaraka.

"Kilichobaki ni kustahimili kushirikiana na CUF kuunda serikali ya umoja wa kitaifa" alisema mmoja wa wawakilishi kutoka CCM.

Habari zaidi kutoka CCM Lumumba zinasema "hatuwezi kuendelea kupigania kitu ambacho kimeshatutoka. Haya tuache tusonge mbele, kwani dunia nzima inatushangaa."
 

Attachments

  • IMG_20151113_092414.jpg
    IMG_20151113_092414.jpg
    668.7 KB · Views: 12,845
MaCCM hawawezi kukubali kuachia dola ya Zanzibar...
 
Ikiwa hivo itakua vizuri uchu wa madaraka haufai wakumbuke uongonzi ni dhima au dhamana kwani hapa dunian tuna pita tu hata uwe mfalme uwe rais uwe. Nani tukumbuke tupo safarin inshaalha wamalize vizuri.
 
Habari zinazoendelea kuvuja kutoka ndani ya kikao kilichoketi Jumatatu hii na kuhusisha marais wastaafu Mh.Mwinyi, Mh. A. Karume, rais wa Zanzibar Dr. Shein, Balozi Seif na Maalim Seif, zinasema chama cha Mapinduzi Zanzibar kimekubali kuachia madaraka.

"kilichobaki ni kustahimili kushirikiana na CUF kuunda serikali ya umoja wa kitaifa" alisema mmoja wa wawakilishi kutoka CCM.

Habari zaidi kutoka CCM Lumumba zinasema "hatuwezi kuendelea kupigania kitu ambacho kimeshatutoka. Haya tuache tusonge mbele, kwani dunia nzima inatushangaa."

Kumbe Mawio nayo ina wasomaji!!Maajabu...
 
Kwa hiyo tamko la kufuta uchaguzi na kurudia litafichwa wapi?
 
Habari yako inapingana na habari iliyopo kwenye gazeti la serikali,acha uongo lete habari za kueleweka JF inaheshimika zaidi ya vyombo vyote vya habari unavovijua wewe.
 
Habari yako inapingana na habari iliyopo kwenye gazeti la serikali,acha uongo lete habari za kueleweka JF inaheshimika zaidi ya vyombo vyote vya habari unavovijua wewe.

Wewe falla umeshazoea kusoma magazeti yenu ya Lumumba na habari zenu za kufurahishana pasipo kuelezana ukweli.
Habari ndio hiyo,Zanzibar inakwenda kuwa chini ya CUF,huku bara subirieni balaa letu 2020.
 
Wewe falla umeshazoea kusoma magazeti yenu ya Lumumba na habari zenu za kufurahishana pasipo kuelezana ukweli.
Habari ndio hiyo,Zanzibar inakwenda kuwa chini ya CUF,huku bara subirieni balaa letu 2020.

Mkuu nifah,tatizo la ccm hawajaandaliwa kuwa kuna maisha nje ya utawala
 
Last edited by a moderator:
Wacha utani we. Umeshasahau ya Bi Asha Bakari kwenay BMK? "Hatuitoi, hatuitoi, hatuitoiiii. Ilipatikana kwa bunduki na hatuwezi kuitoa kwa karatasi" Hiyo ndo sera ya CCM!!
 
Wewe falla umeshazoea kusoma magazeti yenu ya Lumumba na habari zenu za kufurahishana pasipo kuelezana ukweli.
Habari ndio hiyo,Zanzibar inakwenda kuwa chini ya CUF,huku bara subirieni balaa letu 2020.



Like like like ni FALLA kweli huyo
 
Habari yako inapingana na habari iliyopo kwenye gazeti la serikali,acha uongo lete habari za kueleweka JF inaheshimika zaidi ya vyombo vyote vya habari unavovijua wewe.

Source: Jamii Forum :lock1:
 
Kuna watu siku zote wako nyuma tu, lini mtajkuwa mbele? uchaguzi unarudiwa
 
Back
Top Bottom