CCM Yapumulia Mashine, Yageuka SACCOS



nini mahaba yenu kwa cdm ...maanake msipo andika siku kwenu sio nzuri...mnapenda nini mti bendera au nyege za kutamka cdm au slaa ........tuuuuu
 

kwanza kabisa nakupongeza kwa kutambua kwamba pesa hizo ni sehemu ya pesa zako za kodi iliyo fisadiwa na chama cha mapinduzi, pili nakushauri watafute maskini wengine muhakikishe mnazichukua pesa hizo zilizo ibiwa na maccm, nakuzifanyia kazi,tatu kura ni siri yako chagua mabadiliko,
 
hii issue nimeambiwa jana tu ila sikuamini.
ni hapo makoroboi mwanza machinga wote wameagizwa wajiunge watu kumi wapewe 10m!
Eee Mungu unikumbuke na mimi!
 
njooni arusha tayari kuna makundi yakutosha.itakua kheri sana,nitachukua hata kadi tatu,raha sana kurudishiwa kodi yangu

mungu hamtupi mja wake,ndivyo zitakavyo rudi,2015 fungua akaunt zaid ya 4,
 
Sina haja na pesa za ccm ni kujitakia laana na jehanamu ya moto
 
Mbona huchambui hoja? Hoja iliyopo mezani ni CCM kuwa saccoss, kukopesha wanachama wake! wewe unakuja na hasira zako dhidi ya Slaa! kweli unaakili timamu? Haya maisha bora mliyotuahidi watanzania yako wapi? ninani anaeneza ulaghai zaidi ya CCM na nyie wachawi wake?
 
Kuleni tu hizo pesa ni zenu mbona kila sehemu ya pande la nchi wanahonga lakini watu wanajua ,wanawahonga ili wao na watoto wao waendelee kula kwa mrija na kuneemesha familia zao tunakaribia uchaguzi wa serikali za mitaa sasa hizo fedha ni za halmashauri zenu hawanunuwi madawati shuleni wala dawa hospitalini wala vivuko ziwani ili wabaki madarakani siku nyingine mukishamaliza kugawiwa fedha wakamateni wapigeni kiberiti wafie mbali hao mumiani hawa demokrasia
 



Wapi huko mkuu. Hata mi wakinipa mkopo nauchukua harafu nakuwa nawaangalia kwa jicho la kwapani..kwenye kura nawapiga ngwala, chezeya mtanzania wa leo wewe..si wanatuona sisi vyura wa majarubani
 
Kila anaeipinga CCM ni Chadema?
Tanzania kuna vyama vingapi vya upinzani?
Kila mtu ana chama?
CCM kama sio wizi wa kura mngekuwa hai hadi leo?
2015 tuone kama mtaiba tena patachimbika.

Think further
 

Umesema "ULAGHAI NA ZAIDI YA UFISADI" Kumbe veve kusajua kama ccm iko fisadi ehh!!!!!!!!
 
Kama viongozi WA ccm wangekuwa Makino hizo fedha wangezielekeza kwa wanafunzi WA elimi ya juu waliokosa mikopo. Lakini kwa ufinyu wao WA akili wanazitapanya kwa mambo yasiyoeleweka.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…