B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 496
- 379
Chama cha Mapinduzi maarufu kama CCM sasa kinaelekea kufutika katika Ramani ya vyama vikongwe Afrika, sasa baada ya kuona umaarufu wake unashuka kwa kasi ya ajabu na kutishia uhai wake, chama hiki kimekuja na mbinu mpya,
CCM imeanza kutoa mikopo ya pesa kwa wanachama wake ili wasiendelee kuhama chama hicho, na wasio wanachama ili wajiunge na chama hicho, Wiki hii na mimi nimekuwa mmoja wa walionufaika na kodi yangu ambayo nimekuwa nikitozwa kila nikinunua Nguo, furnitures, chakula, vinywaji, EPA, USWIZI, RADA, BUZWAGI, NK. tulifuatwa na kiongozi mmoja mkubwa wa CCM akatutaka tuanzishe kikundi cha watu 10 ili atupatie pesa, kweli bhana tumepokea mgawo wa shilingi milioni 10, tumegawana kila mmoja, ila tumeambiwa inabidi tupewe kadi za chama na kutafuta wanachama wapya tukasema poa tu, kula CCM lakini Kura sisi tunaangalia mtu sio chama, Huwezi kunilazimisha kuoa binti nisiye mtaka mimi, sisi tunajitambua kiakili na kifkira.
CCM imeanza kutoa mikopo ya pesa kwa wanachama wake ili wasiendelee kuhama chama hicho, na wasio wanachama ili wajiunge na chama hicho, Wiki hii na mimi nimekuwa mmoja wa walionufaika na kodi yangu ambayo nimekuwa nikitozwa kila nikinunua Nguo, furnitures, chakula, vinywaji, EPA, USWIZI, RADA, BUZWAGI, NK. tulifuatwa na kiongozi mmoja mkubwa wa CCM akatutaka tuanzishe kikundi cha watu 10 ili atupatie pesa, kweli bhana tumepokea mgawo wa shilingi milioni 10, tumegawana kila mmoja, ila tumeambiwa inabidi tupewe kadi za chama na kutafuta wanachama wapya tukasema poa tu, kula CCM lakini Kura sisi tunaangalia mtu sio chama, Huwezi kunilazimisha kuoa binti nisiye mtaka mimi, sisi tunajitambua kiakili na kifkira.