Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Una poit kubwa sana mkuu maana kwa sasa ccm wamejiongezea maadui kila sektaWafuasi wa Upinzani kamwe hawawezi kupungua eti kwa sababu ya Mtu mmoja, kwa hali ilivyo mbaya kwa huu utawala mbovu wa CCM, wafuasi wa upinzani watazidi kuongezeka zaidi kuliko kawaida!
Wajinga hao waacheni wajidanganye tu
In God we Trust