mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
Wadau,
Juzi kumefanyika uchaguzi mkoani Arusha wa CCM ambapo chama kimepata kamanda mpya wa mkoa huo aitwaye ndugu Philemoni Mollel.
Akiwashukuru wajumbe wote wa chama kwa kumchagua kwa kura za kutosha amewahaidi vijana wa mkoa huo mabadiliko makubwa ya kiuchumi na ushindi mkubwa dhidi ya CHADEMA kwenye serikali za mitaa unaotarajia kufanyika hivi karibuni.
Nawasilisha
Juzi kumefanyika uchaguzi mkoani Arusha wa CCM ambapo chama kimepata kamanda mpya wa mkoa huo aitwaye ndugu Philemoni Mollel.
Akiwashukuru wajumbe wote wa chama kwa kumchagua kwa kura za kutosha amewahaidi vijana wa mkoa huo mabadiliko makubwa ya kiuchumi na ushindi mkubwa dhidi ya CHADEMA kwenye serikali za mitaa unaotarajia kufanyika hivi karibuni.
Nawasilisha