Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,871
Tasisi ya Data point imetoa matokeo ya Tafiti yake ya vyama vya siasa na CCM imeongoza kwa kutoa na kupokea rushwa kwenye chaguzi zao za ndani na kutofuata katiba yao kwa sababu mbalimbali
Tasisi ya Data point imetoa matokeo ya Tafiti yake ya vyama vya siasa na CCM imeongoza kwa kutoa na kupokea rushwa kwenye chaguzi zao za ndani na kutofuata katiba yao kwa sababu mbalimbali
Hata mimi nimeliona hilo
Tasisi ya Data point imetoa matokeo ya Tafiti yake ya vyama vya siasa na CCM imeongoza kwa kutoa na kupokea rushwa kwenye chaguzi zao za ndani na kutofuata katiba yao kwa sababu mbalimbali
Mbaya zaidi Watanzania wamese hawadanganyikiUkoo wa panya huo unajulikana.
Anzia babu hadi kitukuu wote wezi, wala rushwa na watoa rushwa.
Bado tututaona mengi kuhusu huu ukoo.
Ukoo wa panya huo unajulikana.
Anzia babu hadi kitukuu wote wezi, wala rushwa na watoa rushwa.
Bado tututaona mengi kuhusu huu ukoo.