radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
wapinzani wanatumia tukio hili la kukachwa na wanachama wake na viongozi kama wimbo wa kuboresha vilio vyao vya sikuzote badala ya kulichukulia kama somo la kujirekebisha.
Kwamba nao watafute mitaji ya kufanyia hiyo biashara?