Na Chalila Kibuda
SIKU moja baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kumfungulia kesi Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Nape Nnauye, CCM imesema haina mpango wa kukishtaki chama hicho kutokana na kudai kinaingiza silaha nchini. Akizungumza na Tanzania Daima jana kwa njia ya simu, Nape alisema chama hicho hakitafanya hivyo kwa kuwa kinaendelea kukijenga chama.
Hutuendi mahakamani kuishtaki CHADEMA kwa kile walichodai kuwa CCM inaingiza silaha nje ya kanuni zilizowekwa na nchi, alisema Nnauye.
Hivi karibuni, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Salaa, akiwa mkoani Morogoro alinukuliwa akisema CCM imeingiza silaha nchini bila kibali, ili zitumiwe na vijana wao kukabiliana na wapinzani.
sasa hapo mbona sioni inavyo mgwaya Dr
Kwani nape ni CCK?Edit heading yako,Sema Nape amgwaya Dk.Slaa.
hamna pakutokea M4C Ime IMEWASHIKA maana hata sera yenu ya ''vitu vizito vinavyorushwa toka mbali'' imefeli NA DOA YENU NA MDEBWEDO ndo ina anza kuyumba nendeni mka inusuru.Kwa maonin haya nimeamini chadema ni genge la matahaira. Hivi kweli mtu na akili zake atahangaika na kauli za slaa?? Alikwisha dai anataka kuuwawa halafu akadai eti kuna kontainer zima la kupigia kura kutoka afrika ya kusini liliingia nchini. Sasa hata mtoto wa chekechea hawezi kuamini eti ccm iagize silaha. Hizo silaha zina kaa wapi kama si utahaira. Huyu babu kweli kwa kauli ya nape anazeeka na anapoteza kumbukumbu. Juzi tu alijikanyaga huku anamshtaki nape kwa kusema chadema inafadhiliwa kwenye kikao ambacho pia anakili chama cha kikristo cha ujerumani kinawafadhili. Ni chakubanga tu huyu. Kama ingekuwa cuf imefadhiliwa na chama cha waislamu ungesikia kelele za maaskofu itv. Unaweza kuachana na kichaa watu waone tofauti lakini kutokuburuzwa mahakamani hakumaanishi kuwa unanga umehalalishwa
Kwa maonin haya nimeamini chadema ni genge la matahaira. Hivi kweli mtu na akili zake atahangaika na kauli za slaa?? Alikwisha dai anataka kuuwawa halafu akadai eti kuna kontainer zima la kupigia kura kutoka afrika ya kusini liliingia nchini. Sasa hata mtoto wa chekechea hawezi kuamini eti ccm iagize silaha. Hizo silaha zina kaa wapi kama si utahaira. Huyu babu kweli kwa kauli ya nape anazeeka na anapoteza kumbukumbu. Juzi tu alijikanyaga huku anamshtaki nape kwa kusema chadema inafadhiliwa kwenye kikao ambacho pia anakili chama cha kikristo cha ujerumani kinawafadhili. Ni chakubanga tu huyu. Kama ingekuwa cuf imefadhiliwa na chama cha waislamu ungesikia kelele za maaskofu itv. Unaweza kuachana na kichaa watu waone tofauti lakini kutokuburuzwa mahakamani hakumaanishi kuwa unanga umehalalishwa
Nadhani hakuna haja ya wanasiasa kukimbilia mahakamani. Jibuni hoja tu mkianza huu mtindo kesi mahakamani zitarundikana bila sababu ya msingi. Kuropoka ni sehemu ya siasa. Kudhibitisha ni hatua nyingine. Ukiona mtu anakimbilia mahakamani jua ukweli umemchoma anatafuta pa kujisafisha. Nani asiyejua kwamba CHADEMA inafadhiliwa?? Nashauri wafute tu hiyo kesi isije ikawaumbua zaidi na kuwazibia riziki huko Conservative Union na kwa wakina RENAMO na Democratic Union of Africa. Wapo vijana wanaopata mafunzo kila mwaka kwenda nje ya nchi kupitia CHADEMA kama motisha wa kupata vijana wa elimu ya juu sasa haya yoote si vibaya na yapo kwa hiyo CHADEMA kioneshe ukomavu na kukubali kukosolewa
Almasiomary: Suala la kufadhiliwa kwa vyama vya siasa ni kawaida kabisa hata CCM inafadhiliwa. Labda tuseme kuwa Tanzania tunataka kuanza utamaduni mpya wa kuweka wazi ni nani anafadhili chama gani cha siasa. Jambo ambalo ni zuri tu. Lakini CDM kufadhiliwa si ajabu. Tena suala la kusema eti CDM wanafadhiliwa na vyama vya kristo ni ujinga kwa sababu hata Tanzania kama nchi ufadhili mkubwa unatoka Jumuia Ulaya. Je, hii inamaanisha kuwa Tanzania ni mfumo kristo? Si kweli.
ccm ni janga...hakuna mwema ndan ya ccm!
Kwa maonin haya nimeamini chadema ni genge la matahaira. Hivi kweli mtu na akili zake atahangaika na kauli za slaa?? Alikwisha dai anataka kuuwawa halafu akadai eti kuna kontainer zima la kupigia kura kutoka afrika ya kusini liliingia nchini. Sasa hata mtoto wa chekechea hawezi kuamini eti ccm iagize silaha. Hizo silaha zina kaa wapi kama si utahaira. Huyu babu kweli kwa kauli ya nape anazeeka na anapoteza kumbukumbu. Juzi tu alijikanyaga huku anamshtaki nape kwa kusema chadema inafadhiliwa kwenye kikao ambacho pia anakili chama cha kikristo cha ujerumani kinawafadhili. Ni chakubanga tu huyu. Kama ingekuwa cuf imefadhiliwa na chama cha waislamu ungesikia kelele za maaskofu itv. Unaweza kuachana na kichaa watu waone tofauti lakini kutokuburuzwa mahakamani hakumaanishi kuwa unanga umehalalishwa
Kwa maonin haya nimeamini chadema ni genge la matahaira. Hivi kweli mtu na akili zake atahangaika na kauli za slaa?? Alikwisha dai anataka kuuwawa halafu akadai eti kuna kontainer zima la kupigia kura kutoka afrika ya kusini liliingia nchini. Sasa hata mtoto wa chekechea hawezi kuamini eti ccm iagize silaha. Hizo silaha zina kaa wapi kama si utahaira. Huyu babu kweli kwa kauli ya nape anazeeka na anapoteza kumbukumbu. Juzi tu alijikanyaga huku anamshtaki nape kwa kusema chadema inafadhiliwa kwenye kikao ambacho pia anakili chama cha kikristo cha ujerumani kinawafadhili. Ni chakubanga tu huyu. Kama ingekuwa cuf imefadhiliwa na chama cha waislamu ungesikia kelele za maaskofu itv. Unaweza kuachana na kichaa watu waone tofauti lakini kutokuburuzwa mahakamani hakumaanishi kuwa unanga umehalalishwa
sasa hapo mbona sioni inavyo mgwaya Dr