CCM, yako wapi Maisha Bora mliyoyaahidi kwa watanzania?

CCM, yako wapi Maisha Bora mliyoyaahidi kwa watanzania?

Vunjavunja

Member
Joined
May 18, 2012
Posts
92
Reaction score
11
Jamaani serikali ya CCM muko wapi. Huku Mtwara- Tandahimba hali si nzuri wananchi waliowapenda wakawapa kura, leo hii wanalazimika kununua duma la maji sh 500 hadi 1000. Haya ndo maisha bora kwa wanamtwara?
 
Ccm wako busy wanau tembo wetu ,watakuja mtwara tembo wakisha .
 
Kweli hawa jamaa wako buzy na Tembo nakuchukua Korosho zetu ila kutupa huduma za muhimu wanatusahau.
 
Ukifika wakati wa uchaguzi watarudi na ahadi nyingine tamu pamoja na tshirt,kofia,kanga na kuwapeni buku buku! ondoeni shaka ccm bado inawapenda na itawaboreshea maisha wakati wa uchaguzi kwa kuwapeni vifaa hivyo nilivyovitaja!ccm hoiiii,sorry i mean oyeeeee!!!???
 
Hamtapata wanachama wapya kwa kuzungumzia tembo sio sera iyo.
 
Hata wewe unaweza ukajirolea kuchimba kisima na wenzako wakapata maji. Si kila kitu serikali ingawa ni wajibu wake kufanya hivyo
 
Tandahimba ni moja ya wilaya inayoingizia Serikali mapato makubwa.
poleni sana.
 
Shiriki ktk kazi za maendeleo sio kulialia mitandaoni. Huo ni uzembe wa hali ya juu
 
Tandahimba hivi sasa imefunguka, ina barabara nzuri za lami, shule za sekondari na vituo bora vya afya. Wananchi tushiriki kuchimba visima ili kujitosheleza kwenye huduma ya maji kwani sio maeneo yote yenye tatizo hili
 
Tandahimba ni moja ya wilaya inayoingizia Serikali mapato makubwa.
poleni sana.
Mapato gani? Na ni kiasi gani kinaingia? Weka takwimu hapa sio unakurupuka kutoka usingizini unaleta porojo apa
 
Kweli hawa jamaa wako buzy na Tembo nakuchukua Korosho zetu ila kutupa huduma za muhimu wanatusahau.
Nyie si o bize na gongo, wake za watu, mahawara na kula ruzuku kwenda kununua majumba dubai?
 
Wachangiaji wengine ni pasua kichwa,utafikiri co watz!shame on u,wew kuwa salama haimaanish na mwanao atakuwa hvyo!utaonaje wakat umevaa miwani ya mbao?stpd
 
Jamaani serikali ya CCM muko wapi. Huku Mtwara- Tandahimba hali si nzuri wananchi waliowapenda wakawapa kura, leo hii wanalazimika kununua duma la maji sh 500 hadi 1000. Haya ndo maisha bora kwa wanamtwara?
Kuna gari moja ilikuwa na ujumbe " umaskini wako ni kipimo cha akili yako"
 
Wachangiaji wengine ni pasua kichwa,utafikiri co watz!shame on u,wew kuwa salama haimaanish na mwanao atakuwa hvyo!utaonaje wakat umevaa miwani ya mbao?stpd
Hapa unamlenga mjomba wako au
 
Back
Top Bottom